Nahitaji mwanamke nimbikiri na nimuoe

Nahitaji mwanamke nimbikiri na nimuoe

Heri ya mwakampya wanaJF

kama kawaida, mwaka mpya na mambo mapya
nahitaji mwanamke aliyejitunza vema na bikra yake nije niibikiri na kumuoa kabisa
umri ni kuanzia miaka 23 mpaka 26
Dini yoyote ile kwangu sawa
kiwango cha elimu ajue kusoma na kuandika
Rangi yoyote but more preferable ni maji ya kunde

Bikra ndio tiketi ya ndoa, tena itafungwa mapema sana haitachukua zaid ya miezi mitatu kutoka sasa

kuhusu mimi, unatakiwa uelewe kwangu utakula, utavaa na utaishi vizuri

kwa mwenye vigezo tu anifuate pm, kama huna BIKRA usijiangaishe
Wako mbinguni hao, tena unaoa 72 wote bikira
 
Bikira inatolewa kwa michezo mbalimbali sio lazima ukatwe na mwanaume . Sema unataka kuoa mwanamke ambae hajawahi ku - sex ,ila na wewe uwe hujawahi k- sex ili mambo yaende sawa .

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom