Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mtapima ngoma kwanza au mtacheza kwanza ndiyo mkapime?Nipo Dar kimakazi na umri wangu miaka 54 nahitaji mwanamke mtu mzima mwenye kujielewa kimaisha na awe mkweli na muaminifu ma umri usiozidi miaka 50
Aliye tayari tuwasiliane kwa namba 0784371889 na nitafurahi sana.
Mtapima ngoma kwanza au mtacheza kwanza ndiyo mkapime?
Mabibi mnaitwa hukuu, maana 50yrs ashavuka level za ushagazii
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] umeambiwaa JF hakuna wanawake, ila wanaume wenye I'd za kike. WoiiiiiihMenopause [emoji1787][emoji1787]
Tatizo jf wote vigori hakuna mabibi
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] umeambiwaa JF hakuna wanawake, ila wanaume wenye I'd za kike. Woiiiiiih
Sasa huyu OP sijui anatakajee??
Nipo Dar kimakazi na umri wangu miaka 54 nahitaji mwanamke mtu mzima mwenye kujielewa kimaisha na awe mkweli na muaminifu ma umri usiozidi miaka 50
Aliye tayari tuwasiliane kwa namba 0784371889 na nitafurahi sana.
Tumalize ya Butiama kwanza ndio uhamie huko Msasani...
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] km busha? sikuwezi uduguuu.Umesahau kende kubwa kubwa [emoji1787][emoji1787]
Hataki longo longo.Bro mbunifu umeweka namba hutaki mambo mengi [emoji23][emoji23]
Tumalize ya Butiama kwanza ndio uhamie huko Msasani...
Na sitakusindikiza maana sitaki kuwa shahidi motoni
Wewe endelea kutunza bikira yako mpaka utakapokuwa mkubwa.Jamanii babuuu huoni nakosa opochuniti hiyo ya kuja Daslamu kutoka huku niliko Kantalamba...!!!???
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] km busha? sikuwezi uduguuu.
Nimekuchachuaa, unakuja speed had Una over take khaaah.