Nahitaji mwanamke wa kuishi naye

Nahitaji mwanamke wa kuishi naye

Nipo Dar kimakazi na umri wangu miaka 54 nahitaji mwanamke mtu mzima mwenye kujielewa kimaisha na awe mkweli na muaminifu ma umri usiozidi miaka 50
Aliye tayari tuwasiliane kwa namba 0784371889 na nitafurahi sana.
kisa una miaka 54 ndo utafute mkweche,una shida gani aisee hadi utafute mtu mzima, tafuta kijana mwenzio miaka 20 hadi 30 mle maisha
akuchangamshe, unataka mzee ili iweje
 
Nipo Dar kimakazi na umri wangu miaka 54 nahitaji mwanamke mtu mzima mwenye kujielewa kimaisha na awe mkweli na muaminifu ma umri usiozidi miaka 50
Aliye tayari tuwasiliane kwa namba 0784371889 na nitafurahi sana.
Tafuta mke uoe Kabisa,zinaa mbaya,umri mkubwa Sana Rudi kwa mungu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mabibi mnaitwa hukuu, maana 50yrs ashavuka level za ushagazii
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ah lakini kwani ukiwa na miaka 25 huwezi ishi nae?
Yeye vigezo vyake umri uwe chini ya 50 tu 😀
 
Back
Top Bottom