Nahitaji mwanamke wa kumuita mama

Nahitaji mwanamke wa kumuita mama

MFALME WETU

JF-Expert Member
Joined
Feb 1, 2021
Posts
4,071
Reaction score
10,028
Wadogo zangu, marahaba...

Naomba niongee na wakubwa zangu.

Kwanza ningependa kutanguliza shukuran zangu za dhati kwa Mwenyezi MUNGU, hakika wewe ni muweza wa yote. [emoji120][emoji120]

Kama title inavojieleza apo juu, mimi ni kijana mtanzania mwenye umri kati ya miaka 20-30, mwanafunzi wa chuo kikuu. [Maelezo mengine zaidi ya haya yanapatikana pm] nilikua naomba kwa unyenyekevu uliotukuka mwanamke yeyote mwenye hadhi ya kuitwa mama ajitokeze niweze kumuita mama maana binafsi sjawahi kupata hiyo nafasi kwan mama alifariki ningali bdo ndo nina miezi mitatu[emoji35] kiukweli namimi ningependa kuwa na mama japo sio wa kunizaa awe mama yangu, naahidi kuwa mtiifu na muadilifu kama mwanae wa kumzaa[emoji120]

Nina mengi ya kuandika ila mimi sio mwandishi mzuri, [pm].

Nyie watu wenye wazazi wote wapo hai au mzazi mmoja, nawashauri waheshimuni sana na muwe watiifu na wenye uadilifu kwao huku mkiwaombea masiha marefu sana.

"You cant appreciate something until you lose it"


[emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120]
 
Pole sana mkuu, wamama wa jeiefu mpeni kampani dogo.....ila msije muiba kijana maana anaweza kujitokeza shuga mami humu
 
Wadogo zangu, marahaba...



Naomba niongee na wakubwa zangu.

Kwanza ningependa kutanguliza shukuran zangu za dhati kwa Mwenyezi MUNGU, hakika wewe ni muweza wa yote. [emoji120][emoji120]

Kama title inavojieleza apo juu, mimi ni kijana mtanzania mwenye umri kati ya miaka 20-30, mwanafunzi wa chuo kikuu. [Maelezo mengine zaidi ya haya yanapatikana pm] nilikua naomba kwa unyenyekevu uliotukuka mwanamke yeyote mwenye hadhi ya kuitwa mama ajitokeze niweze kumuita mama maana binafsi sjawahi kupata hiyo nafasi kwan mama alifariki ningali bdo ndo nina miezi mitatu[emoji35] kiukweli namimi ningependa kuwa na mama japo sio wa kunizaa awe mama yangu, naahidi kuwa mtiifu na muadilifu kama mwanae wa kumzaa[emoji120]

Nina mengi ya kuandika ila mimi sio mwandishi mzuri, [pm].

Nyie watu wenye wazazi wote wapo hai au mzazi mmoja, nawashauri waheshimuni sana na muwe watiifu na wenye uadilifu kwao huku mkiwaombea masiha marefu sana.

"You cant appreciate something until you lose it"


[emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120]
Mungu wangu pole sana...Mungu atakujaalia inshallah... Vile ninavyommisi mamaangu japo alitwaliwa nikiwa over 40 sipati picha ya mtu ambaye hajawahi kuonja ladha ya mama[emoji3064][emoji3064][emoji3064][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]
 
mama D naomba uje uchukue hii nafasi kwa heshima yangu. Uwe mama wa hiyari wa huyu kijana. Akileta usumbufu wowote ule, utanijulisha mama.
Wadogo zangu, marahaba...



Naomba niongee na wakubwa zangu.

Kwanza ningependa kutanguliza shukuran zangu za dhati kwa Mwenyezi MUNGU, hakika wewe ni muweza wa yote. [emoji120][emoji120]

Kama title inavojieleza apo juu, mimi ni kijana mtanzania mwenye umri kati ya miaka 20-30, mwanafunzi wa chuo kikuu. [Maelezo mengine zaidi ya haya yanapatikana pm] nilikua naomba kwa unyenyekevu uliotukuka mwanamke yeyote mwenye hadhi ya kuitwa mama ajitokeze niweze kumuita mama maana binafsi sjawahi kupata hiyo nafasi kwan mama alifariki ningali bdo ndo nina miezi mitatu[emoji35] kiukweli namimi ningependa kuwa na mama japo sio wa kunizaa awe mama yangu, naahidi kuwa mtiifu na muadilifu kama mwanae wa kumzaa[emoji120]

Nina mengi ya kuandika ila mimi sio mwandishi mzuri, [pm].

Nyie watu wenye wazazi wote wapo hai au mzazi mmoja, nawashauri waheshimuni sana na muwe watiifu na wenye uadilifu kwao huku mkiwaombea masiha marefu sana.

"You cant appreciate something until you lose it"


[emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120]

Tate Mkuu nimepokea ombi lako kwa mikono miwili, namsubiria mtoto aje nyumbani niwe mama wa5😍😍. Watoto ni furaha na watoto ni baraka.... ila kuitwa mama ni kitu kikubwa sana haswa pale unapoitwa mama kwa kuchaguliwa.

Pole sana mwanangu Funzamume ukweli kukosa mama ni msiba usioisha

Mungu ni mwema na duniani wapo wamama wenye upendo wa kukupenda na kukuchukulia kama mtoto wa kuzaa
 
Tate Mkuu nimepokea ombi lako kwa mikono miwili, namsubiria mtoto aje nyumbani niwe mama wa5[emoji7][emoji7]. Watoto ni furaha na watoto ni baraka.... ila kuitwa mama ni kitu kikubwa sana haswa pale unapoitwa mama kwa kuchaguliwa.

Pole sana mwanangu Funzamume ukweli kukosa mama ni msiba usioisha

Mungu ni mwema na duniani wapo wamama wenye upendo wa kukupenda na kukuchukulia kama mtoto wa kuzaa
Natumaini ombi langu limekubaliwa, naomba kwa heshima na tahadhima nirukie pm yako tafadhali mama yangu[emoji120][emoji120][emoji120]
 
Wadogo zangu, marahaba...



Naomba niongee na wakubwa zangu.

Kwanza ningependa kutanguliza shukuran zangu za dhati kwa Mwenyezi MUNGU, hakika wewe ni muweza wa yote. [emoji120][emoji120]

Kama title inavojieleza apo juu, mimi ni kijana mtanzania mwenye umri kati ya miaka 20-30, mwanafunzi wa chuo kikuu. [Maelezo mengine zaidi ya haya yanapatikana pm] nilikua naomba kwa unyenyekevu uliotukuka mwanamke yeyote mwenye hadhi ya kuitwa mama ajitokeze niweze kumuita mama maana binafsi sjawahi kupata hiyo nafasi kwan mama alifariki ningali bdo ndo nina miezi mitatu[emoji35] kiukweli namimi ningependa kuwa na mama japo sio wa kunizaa awe mama yangu, naahidi kuwa mtiifu na muadilifu kama mwanae wa kumzaa[emoji120]

Nina mengi ya kuandika ila mimi sio mwandishi mzuri, [pm].

Nyie watu wenye wazazi wote wapo hai au mzazi mmoja, nawashauri waheshimuni sana na muwe watiifu na wenye uadilifu kwao huku mkiwaombea masiha marefu sana.

"You cant appreciate something until you lose it"


[emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120]

Pole sana na kila la heri, mama yangu amefariki nikiwa mtu mzima kabisa. Lakini najiona mimi kama nimeonewa kufiwa na mama.
 
Pole sana na kila la heri, mama yangu amefariki nikiwa mtu mzima kabisa. Lakini najiona mimi kama nimeonewa kufiwa na mama.
So sad, pole sana[emoji120] kuna muda huwa najihisi faraja kuwa ni afadhali sikumuona pengine ingeniongezea maumiv zaid once angenitoka nikiwa tayari nshakuwa mkubwa[emoji35]
 
Back
Top Bottom