Chaliifrancisco
JF-Expert Member
- Jan 17, 2015
- 26,021
- 79,710
Thinking from a different point of view.Kwani kumuwazia mtu jambo baya tena jambo usilokuwa na ukweli wake?
Just saying.Stop always thinking of negativity, sometimes try involving critical thinking to catch up with your precious mind that you were born with [emoji120]
Kila jina nililokuwa najisajli nalo nililokuwa nalipenda naambiwa tyr lina exist, sa mi ni nan mpk nibishane na moderators[emoji3]Ungebadili kwanza jina lako linatia kinyaa na ukakasi,
Jiweke kitoto ili hata huyo mama akija ajione analea sio analelewa.
Tena hasa ukisoma topic yake ya kwanza kabla hii ndio utaelewa huyo mtoto atafutaye mwanamke mtu mzima wa kumuita mama ni wa aina gani,Thinking from a different point of view.
HmmmmmThinking from a different point of view.
Usije kusema hukuambiwa.Hmmmmm
Usije kusema hukuambiwa.
Hahaha mimi sio mtukutu ila nina liberal thoughts. Hivi angekuja hapa aseme anataka sugar mumy ungemjibu kuwa aje PM?Kila kitu kiwe kibaya au kizuri huanzia rohoni
Huyu kijana hakushindwa kuingia hapa na kuatafuta hao unaowasema
Halafuu wewe Chalii sijui kwanini unakuaga mtukutu hivi😅😅😅
Naomba unitagTena hasa ukisoma topic yake ya kwanza kabla hii ndio utaelewa huyo mtoto atafutaye mwanamke mtu mzima wa kumuita mama ni wa aina gani,
Marioo wana mbinu nyie acheni tu.
Hahaha mimi sio mtukutu ila nina liberal thoughts. Hivi angekuja hapa aseme anataka sugar mumy ungemjibu kuwa aje PM?
Tuwaze kidogo.
Naomba unitag
Una uhuru wa kikatiba wa kutoa maoni naona unautumia vzr. Yan hii jf ina kila aina ya watu[emoji3][emoji119][emoji119] em nambie ume notice nn kwenye ule uzi nikuelekeze vzr uelewe maana jambo usilolijua ni sawa na usiku wa giza[emoji120]Tena hasa ukisoma topic yake ya kwanza kabla hii ndio utaelewa huyo mtoto atafutaye mwanamke mtu mzima wa kumuita mama ni wa aina gani,
Marioo wana mbinu nyie acheni tu.
Sina cha kukujibu ila sina intention ya kutafuta sugar mamy humu jf na wala siwez tafta mwenza mtandaoni while hawa wa mtanadaoni ndo hawa hawa tunaokaa nao huku mtaani[emoji120]Thank you madame Dream Queen
Ningeongea kitu ila ingekua na mm nina dalili za kimarioo [emoji28][emoji28]
Daah, mawazo ya swaiba wa shetani haya[emoji3][emoji3]Yaani Iblis amekaa mahali anachekelea sana uzi huu.
Anajua bila shaka hapo pa 25-30 hachomoki mtu.
Samsing wil kam ap[emoji16][emoji16][emoji16][emoji2960][emoji2960][emoji2960][emoji2960]
Lakini wamama wa mtandaoni ni tofauti na wa mtaani,Sina cha kukujibu ila sina intention ya kutafuta sugar mamy humu jf na wala siwez tafta mwenza mtandaoni while hawa wa mtanadaoni ndo hawa hawa tunaokaa nao huku mtaani[emoji120]
Weeee me devil unamjua unamsikia?Daah, mawazo ya swaiba wa shetani haya[emoji3][emoji3]
Haya makubwa kweli!! , sitaki kujua utofauti wao ni nini hasa, ngoja nibaki na imani yanguLakini wamama wa mtandaoni ni tofauti na wa mtaani,
Makubwa hayaaa