Nahitaji mwanangu apate malezi ya baba

Hakuna nafasi ya malezi ya ba mkubwa au ... babu wa mjini? Tunapenda itwa babu but achually ni baba maana tunamlea mamake kwa idara zote. PM Tafadhali.
 
Duhhh.....
Pamoja na mshangao kidogo, ebu kwanza naomba niseme asante..... Kabla sijaambatanisha na swali.
Kwanini umejishangaza, na kisha kuuliza kama kuna wakati ninakuwa na comments/mawazo ama maoni chanya...!!??
Mara nyingi naonaga michango yako ya utani utani mwingi.
 
We bado ni mdogo usiwe desparate kiasi hicho ala!
 
wewe ni mpuuzi sana, unatafta baba wa kulea mwanao na unaweka vigezo?
huyo baba utamlipa hadi uweke vigezo?
ndio masna uliachwa
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mtu mwenyewe single mother halafu masharti kibao mara degree nenda kaolewe na UDSM
 
Unalo litafuta utalipata..
 
Habari Dada

Unaweza kuni inbox tafadhali!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…