Nahitaji mwanaume alietaliki au kufiwa na mkewe

Nahitaji mwanaume alietaliki au kufiwa na mkewe

Maty

JF-Expert Member
Joined
Aug 24, 2010
Posts
2,167
Reaction score
727
Wadau mimi sijui nijiite mdada au mmama, nina miaka 30 na nina mtoto mmoja ana miaka tisa. Nina kazi yangu nzuri kiasi inakidhi my basic needs including food, clothes and shelter.
Nimekaa najisikia mpweke nahitaji mwanaume ambaye ameshataliki au mkewe bahati mbaya amefariki lakini sio na ukimwi na ikiwezekana awe na mtoto mmoja tuishi pamoja na kulea watoto wetu kwa upendo na amani tele. Kama uko interested na uko serious kwani sihitaji uhusiano wa kupita nahitaji strong relationship nimezunguka zunguka sasa nahitaji kutulia. waweza wasiliana na mimi kwa kupitia matyshirima@gmali.com
 
Bi Maty mbona hajaeleza Baba wa huyo mtoto anafanyanini,kwanini hutaki kukaa nae mlee mtoto wenu na ikiwezekana muongeze mtoto mwingine ?
 
ningekuwa sijaoa ningetupa karata lakini mbona umri wako sio mkubwa kwa nn hutaki ambaye hajaoa kabisa maana mtoto mmoja wala si kikwazo cha kutafuta waliotaliki au waliofiwa
 
Wadau mimi sijui nijiite mdada au mmama, nina miaka 30 na nina mtoto mmoja ana miaka tisa. Nina kazi yangu nzuri kiasi inakidhi my basic needs including food, clothes and shelter.
Nimekaa najisikia mpweke nahitaji mwanaume ambaye ameshataliki au mkewe bahati mbaya amefariki lakini sio na ukimwi na ikiwezekana awe na mtoto mmoja tuishi pamoja na kulea watoto wetu kwa upendo na amani tele. Kama uko interested na uko serious kwani sihitaji uhusiano wa kupita nahitaji strong relationship nimezunguka zunguka sasa nahitaji kutulia. waweza wasiliana na mimi kwa kupitia matyshirima@gmali.com

okay,vizuri kama umeamua kutulia baada ya kuzunguka zunguka kidogo,najitolea kukuombea ufanikiwe kwani nia yako ni nzuri.
haya mabinamu mnafit hapo?
 
Naomba niulize ifuatavyo;

  1. Baba wa huyo mtoto mmoja yuko wapi na anajishughulika na nini? Kama amefariki, lini na kwa nini?
  2. Iwapo sina sifa ulizotaja; yaani sijataliki wala sijafiwa na mke, na nipo interested, itakuwaje?
  3. Unadai umezungukazunguka na sasa unataka kutulia...! Umezunguka hadi wapi? Umekutana na wangapi? Na je, unamaanisha bado hujatulia, lakini sasa unataka kutulia?
  4. Kazi unayofanya ni ipi? Bar maid, clerk, biashara ya ...., ufundi wa ...., n.k
  5. Kwa sasa unaishi wapi? Dar, Arusha, Mombasa .....
  6. What is your current health status?
 
Maty hongera kwa kuvunja ukimya!wengi wana tatizo kama lako wanaona aibu kujitokeza hadharani....

wewe konakali kama una interest m PM au kama vipi omba e mail au phone number atakujibu maswali yako...asimwage mchele kwenye kuku wengi.....
 
Kama uko interested na uko serious kwani sihitaji uhusiano wa kupita nahitaji strong relationship nimezunguka zunguka sasa nahitaji kutulia
Ngoja na mimi nizungukezunguke kwanza halaf n'tafikiria..
 
Naomba niulize ifuatavyo;

  1. Baba wa huyo mtoto mmoja yuko wapi na anajishughulika na nini? Kama amefariki, lini na kwa nini?
  2. Iwapo sina sifa ulizotaja; yaani sijataliki wala sijafiwa na mke, na nipo interested, itakuwaje?
  3. Unadai umezungukazunguka na sasa unataka kutulia...! Umezunguka hadi wapi? Umekutana na wangapi? Na je, unamaanisha bado hujatulia, lakini sasa unataka kutulia?
  4. Kazi unayofanya ni ipi? Bar maid, clerk, biashara ya ...., ufundi wa ...., n.k
  5. Kwa sasa unaishi wapi? Dar, Arusha, Mombasa .....
  6. What is your current health status?
Baba wa mtoto yupo ana kazi nzuri tu na mtoto anamhudumia kama kawaida mtoto wetu anasoma boarding na yeye ndio analipa ada na mahitaji mengine muhimu ya mtoto ila sometimes akikwama huwa na mimi inabidi nimsaidie. Na kwa alieniuliza kwa nini baba wa mtoto hatukai nae ni kwa sababu ilitoke bahati mbaya katika ugirlfriend na uboyfriend miaka ile ndio ujauzito ukatokea na mtoto kuzaliwa hatukuwa tumepanga ilitokea tu accidentaly i think we were not ment to be together hakuwa ubavu wangu ila mtoto wetu kama nilivyosema 2namtunza wote vizuri tu na yeye alishaoa mke mwingine na anamaisha yake.

Nimezunguka kidogo kwani mi ni bidamu nisingeweza kukaa hivi hivi ila na wangapi siwezi kukutaji my dia kwani hata wewe ningekuuliza umetoka na wangapi usingeniambia au ungenidanganya.

Kuhusu kazi mimi ni administrative asistant kwenye international organisation moja mkoa sitotaja kwa sasa nitazungumza baadae.

Nilihitaji ambaye ameshaoa au amefiwa na mke kwani hao wana experience ya kuishi katika maisha ya ndoa na kingine naona kama kaumri kameenda kidogo na sina uhakika kama naweza kupata bacherlor mwenye miaka 30 na kuendelea wengi wao wameshaoa. Ila kama uko interested inabidi uwe above 30 chini ya hapo haiwezekani na usiwe mwanaume suruali kama nilivyosema awali.


Kuhusu afya niko kupima magonjwa yote yanayoogopesha mbele ya mtarajiwa akipatikana.
 
Wadau mimi sijui nijiite mdada au mmama, nina miaka 30 na nina mtoto mmoja ana miaka tisa. Nina kazi yangu nzuri kiasi inakidhi my basic needs including food, clothes and shelter.

Nimekaa najisikia mpweke nahitaji mwanaume ambaye ameshataliki au mkewe bahati mbaya amefariki lakini sio na ukimwi na ikiwezekana awe na mtoto mmoja tuishi pamoja na kulea watoto wetu kwa upendo na amani tele. Kama uko interested na uko serious kwani sihitaji uhusiano wa kupita nahitaji strong relationship nimezunguka zunguka sasa nahitaji kutulia. waweza wasiliana na mimi kwa kupitia matyshirima@gmali.com


Binti si wazo baya pia kujihusisha na vyama mbalimbali vya Kitaaluma hasa katika Networking Events na Seminars. Utawakuta akina kaka singles wengi na wa kila namna wenye shida ya kupata mke pia. Nawafahamu several lakini hapa si mahali pake na wala mimi si msemaji wao.

Otherwise Goodluck!
 
Wadau mimi sijui nijiite mdada au mmama, nina miaka 30 na nina mtoto mmoja ana miaka tisa. Nina kazi yangu nzuri kiasi inakidhi my basic needs including food, clothes and shelter.
Nimekaa najisikia mpweke nahitaji mwanaume ambaye ameshataliki au mkewe bahati mbaya amefariki lakini sio na ukimwi na ikiwezekana awe na mtoto mmoja tuishi pamoja na kulea watoto wetu kwa upendo na amani tele. Kama uko interested na uko serious kwani sihitaji uhusiano wa kupita nahitaji strong relationship nimezunguka zunguka sasa nahitaji kutulia. waweza wasiliana na mimi kwa kupitia matyshirima@gmali.com

hapo kwenye blue bora second option.
kwenye red, mhh mama uwe na majibu, hiyo baadaye inaweza kuwa fimbo ya kukuchapia.
 
Maty hongera kwa kuvunja ukimya!wengi wana tatizo kama lako wanaona aibu kujitokeza hadharani....

wewe konakali kama una interest m PM au kama vipi omba e mail au phone number atakujibu maswali yako...asimwage mchele kwenye kuku wengi.....

Hamwagi mchele anataka kujibiwa hayo madukuduku yake,kwa vile nae kajieleza humu ili asaidiwe,akijiridhisha basi mambo yaanze maana kutakuwepo competition kali tu.
 
Hongera Maty kwa ujasiri wa kusema. Usisahau kumuomba Mungu pamoja na mizunguko yako!
 
Hongera Maty kwa ujasiri wa kusema. Usisahau kumuomba Mungu pamoja na mizunguko yako!

Kuzunguka nimeshastop siku nyingi sasa hivi niko alone tu mpaka nitakapopata wa uhakika. Na sina sababu ya kuzunguka kwani nina uwezo wa kujitimizia mahitaji yangu muhimu mana wengine wanazunguka kwa wana matatizo. Na sijazunguka sana kihivyo nilikuwa natafuta exposure tu lakini sijaona jipya
 
Dada,
Hongera kwa kuwa muwazi n amkweli.Katika vigezo, umezungumzia kutaka mwanaume mwenye uzoefu wa maisha ya ndoa post ya 9 hapo juu
( nadhani wewe huna uzoefu huu kwani hukuwahi kuolewa kufuatana na maelezo yako ).

Mpendwa, unaelewa madhara ya kumpata mwenye uzoefu ukiacha faida zake ambazo bila shaka zipo.
KIDOKEZO: Mwenye uzoefu ujue ana kigezo tayari cha kukupima na kukulinganisha. Utaweza kusikia ukiambiwa " mke wangu alikuwa ananipikia hivi, alikuwa hodari kwenye lile, hakuwahi kunifanyia hivi au vile" Uko tayari kuwa na mshindani asiyeonekana?

Ni angalizo tu inaweza isitokee pia.

Good luck!!
 
Nadhani hii email account
PHP:
matyshirima@gmali.com
imeisha kuwa overloaded, Kila nikijaribu kutuma maombi kwa niaba ya rafiki yangu Fidel naona zanirudia.
 
nimezunguka zunguka sasa nahitaji kutulia.

Nakupongeza kwa uamuzi wako wa pekee wa kuamua kutulia.
Je afya yako kwa sasa ikoje? Umesha check na kujiridhisha?
 
Nadhani hii email account
PHP:
matyshirima@gmali.com
imeisha kuwa overloaded, Kila nikijaribu kutuma maombi kwa niaba ya rafiki yangu Fidel naona zanirudia.

Hahahaha mpwa bana ngoja nijaribu na mm kuMP asije Nyani Ngabu akaniwahi bure.
 
Back
Top Bottom