Nahitaji mwanaume hanithi

Status
Not open for further replies.
Nimegundua sipendelei na wala siinjoy sex... Nahitaji mwanaume tutakaependana na kupeana emotional support bila kuhusisha sex.
Wawezakuwa huinjoi kwa kuwa hujampata fundi.
Ila kama unachosema kiko kibiolojia wawezakuwa na mahitaji adimu ambayo hayajawahi kuhitajiwa kabisa au nadra kutokea. Hongera kwa ujasiri huo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Oyaaaaaa magu legeza kidogo basi

sent from my iPhone 7 nimeinunua SAPNA pale Posta mtaa SAMORA
 
Duuh,ina maana wewe hanithi au?

Kumbe mahanithi wako wengi Jf

Hahahaaa.

What I wanted to do is to help her cuz naishi Ilala na nawafaham watoto wa kiarabu wengi ambao wanapenda this game.

Sasa nikataka nim-pm ili niweze kum-connect nao ili nae aweze ku-enjoy na kufurahia maisha kama binadam wengine asiwe lonely.

Ndo mana nikasema nim-check pm nikakuta amefunga pm that's why nikamuuliza mbona umefunga pm yako.

Lengo ilikuwa ni kumsaidia ndugu yetu nae afurahie maisha na asiwe mpweke wandugu.

Thanks.
 
Niliwahi sikia sehemu kuw kuna wanawake pia mahanisi, inawezekana wewe pia hanisi.
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…