Nahitaji mwanaume hanithi

Status
Not open for further replies.
Kwan ukisem ww anith kun nn
 
Lesbian sis there is life out of orgasm,look wat u dd to a sweet girl you ,i will pray 4 u.
 
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] mkuu umenichekesha sana

invest what you are willing to lose
Mkuu kwa hiyo kauli mbiu yako "wekeza ambacho upo tayari kukipoteza" imenifanya niwaze sana, nimeitizama kwa upande wa kibiashara naona ukiitumia pale unapoona meli inaenda mrama inakuruhusu ku-change bzness significantly ku-match upepo,
Naombaa na wewe unipe maana yake na jinsi unavyoitumia, ningependa iwe hata thread hii
 
Shukrani sana ndugu yangu, siku si nyingi ntaielezea Kwa mapana sana kule jukwaa LA ujasiliamali
 
bado hujampata tu mpaka leo
Bado! Wanaokuja ni wa kawaida tu!
Watu wanadhani natania! Mwenzao nipo serious...
Kama nina matatizo si bora niwe na mwenyematatizo mwenzangu!
 
Bado! Wanaokuja ni wa kawaida tu!
Watu wanadhani natania! Mwenzao nipo serious...
Kama nina matatizo si bora niwe na mwenyematatizo mwenzangu!
...huyo kwenye avatar ndo wewe hanithi?
 
Bado! Wanaokuja ni wa kawaida tu!
Watu wanadhani natania! Mwenzao nipo serious...
Kama nina matatizo si bora niwe na mwenyematatizo mwenzangu!
Pole, kuna mambo hayaondoki kwa uwezo Wa kibinadamu,wanawake wengi wanashambuliwa na nguvu za mapepo ya ngono. Maombi yanatakiwa sana.
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…