mwanambwa
Member
- Mar 23, 2017
- 62
- 32
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wawezakuwa huinjoi kwa kuwa hujampata fundi.
Ila kama unachosema kiko kibiolojia wawezakuwa na mahitaji adimu ambayo hayajawahi kuhitajiwa kabisa au nadra kutokea. Hongera kwa ujasiri huo
Sent using Jamii Forums mobile app
Kamuone mtaalamu wa mambo ya mahusiano na mapenzi.Nimegundua sipendelei na wala siinjoy sex... Nahitaji mwanaume tutakaependana na kupeana emotional support bila kuhusisha sex.
Hahahaaa eti "puliizi."Magu baba uliposhika achia kidogo huku mtaani watu tunawaza maisha mpaka tunakosa hisia za tendo puliizi baba achia kitufe walau kwa mwaka mmoja tu
Hebu njoo nideki bahari bnNimegundua sipendelei na wala siinjoy sex... Nahitaji mwanaume tutakaependana na kupeana emotional support bila kuhusisha sex.
HanisiHebu njoo nideki bahari bn
HanithiHanisi