Nahitaji mwanaume M-nigeria au M-ghana

Nahitaji mwanaume M-nigeria au M-ghana

........Unadhania ukiwa nao hao ndo utazaa mtoto kama Nwanko Kanu au Asamoah Gyan? Endelea tu uje kuzaa nao mtoto type ya Boko Haramu.
 
tatizo wa nigeria wa na assume kwamba wanawake wa bongo wote wanatoa tigo maana huko china wao ndo wateja wao wakubwa,kaa na wapopo huwa wanasema hivyo
 
Sina sharti lolote wala siangalii kigezo chochote ili mradi uwe na pesa.

Asanteni

Madame B
Hahahahaa we najua unachokitafuta kwa hao watu. Mbona hata waswahili wengine wanacho? Halafu wacongo nasikia wako vizuri zaidi, ila kila la kheri mweh! Madame B
 
Last edited by a moderator:
Ninao Hao kibao tunauzaga nao electronics kama upo serious nipe pesa nikuunganishe nao
 
Aisee, kuna wanawake wengine upstairs hampo sawa.
Madam b i do respect you ila hapa umebug. Hivi hii mijitu unaijua vizuri kweli?
Kweli umeichoka papuchi yako

Vipi mkuu hawatumii papuchi vizuri hao walengwa wa madam b
 
Kama una nyumba ya urithi wa wazazi au mume unatamani kuiuza na usile hata senti nikuunganishenao
Halafu kazi yao ni ku-spank mgongoni tu,mipango zaidi ya milioni moja,mafanikio sifuri
 
Hawa wa West Africa hata ukimpata inabidi uwe makini la sivo utajutraaaaa
 
Usijaribu kujiingiza kwa mnigeria...kwanza nchi nyingi hawatakiwi sababu ya wizi ,fojali,ugomvi na utapeli mkubwa
 
Nigeria haina tofauti na wale Wacongoman utalia tu.
 
angalia ndugu maana hao jamaa wanasifika na mlango taka.
 
Sina sharti lolote wala siangalii kigezo chochote ili mradi uwe na pesa.

Asanteni

Madame B


Nilijua tu Wanawake wa Tanzania wanshindwana na Wanaume watoto wa chadema sasa wanatoka nje, chadema ni watoto sana hata nashangaa wanaendeshaje familia, fikiria watu wanaombea ndege yetu ianguke wakifikiri wanamkomoa Magufuli, wanachekelea tetemeko la ardhi lililoathiri nchi yetu hivyo nawaelewa Wanawake wakikataa wanaume wa Tanzania ni watoto sana hasa chadema!
 
Chineke[emoji134] [emoji134] [emoji134]
 
Nilijua tu Wanawake wa Tanzania wanshindwana na Wanaume watoto wa chadema sasa wanatoka nje, chadema ni watoto sana hata nashangaa wanaendeshaje familia, fikiria watu wanaombea ndege yetu ianguke wakifikiri wanamkomoa Magufuli, wanachekelea tetemeko la ardhi lililoathiri nchi yetu hivyo nawaelewa Wanawake wakikataa wanaume wa Tanzania ni watoto sana hasa chadema!
Hivi unapokea kiasi gani kwa kuandika upuuzi huu?
 
Back
Top Bottom