Nahitaji Mwanaume mwenye nia ya dhati

Nahitaji Mwanaume mwenye nia ya dhati

Umri kila siku unatukosesha wake ambao ni wife material hivi hivi, nakushauri ukipata mwanaume wa kuanzia 28 uliyempenda oaneni, umri wako sio wa uchumba tena unahitaji uishi na mtu ndani muwe na maisha yenu. if interested hit me DM kwa ushauri tu. mimi tayari nina mtu nishampromise kuwa naye,
 
wanawake wa dar mjarib kutembea na mikoani sio mkikosaga wanaume dar mnakmblia jf buan Tanzania kubwa
 
Elimu yako ni Bachelor of Degree Mkuu?

Hongera sana.
 
Hellow!
Habarini wapendwa mimi ni mwanamke, nahitaji mwanaume mwenye nia ya dhati, bila kujali nina mtoto au sina mtoto
SIFA ZANGU
Umri:30yrs
Marital Status:Single,sijawahi kuolewa
Colour:Maji ya kunde
Kabila:Mkinga
Education:Bachelor of degree
Kazi:Nimeajiriwa,
Dini:Mkristo- Roman catholic
Makaz: Dar-es-salaam

SIFA ZA MWANAUME NINAYEMUHITAJI
Umri: kati ya miaka 35 mpka 41
Height- sio muhimu
Colour:sio muhimu
Body size: sio muhimu pia
Makazi: DSM
Dini- mkristu
Kazi: awe anajishughulisha na kazi inayomwingizia kipato ili maisha yasonge
Ila tuh awe mwenye kujiheshimu, mapenzi ya kweli, asiwe muongo uwazi ndio kila kitu, asiwe mkali kwa sababu mimi ni mpole sana atanionea,
ASANTE.
NB: kama unataka kujaribu nakuomba please usije PM, Ninamaanisha..
Setigo imekuwaje kwani yule shemeji ameleta upunguani?
 
Tukiwaomba no barabarani hamtoi no mnakuwa wakali ona sasa kigezo cha miaka kinanikosesha mke bora.
 
Na Mimi natafuta mchumba wa kike baadae awe mke wangu sifa awe anapumua tu, asiwe marehemu. Kuhusu sifa nyingine aji-judge mwenyewe, kwa anaehitaji niwe Mme wake karibu PM.

Angalizo ukipitia niliyowahi kupost wala yasikuangaishe fikra hapa sio maisha halisi. Karibu.

NB: financial services nakuomba ujiongeze kwa kweli!!
 
Hellow!
Habarini wapendwa mimi ni mwanamke, nahitaji mwanaume mwenye nia ya dhati, bila kujali nina mtoto au sina mtoto
SIFA ZANGU
Umri:30yrs
Marital Status:Single,sijawahi kuolewa
Colour:Maji ya kunde
Kabila:Mkinga
Education:Bachelor of degree
Kazi:Nimeajiriwa,
Dini:Mkristo- Roman catholic
Makaz: Dar-es-salaam

SIFA ZA MWANAUME NINAYEMUHITAJI
Umri: kati ya miaka 35 mpka 41
Height- sio muhimu
Colour:sio muhimu
Body size: sio muhimu pia
Makazi: DSM
Dini- mkristu
Kazi: awe anajishughulisha na kazi inayomwingizia kipato ili maisha yasonge
Ila tuh awe mwenye kujiheshimu, mapenzi ya kweli, asiwe muongo uwazi ndio kila kitu, asiwe mkali kwa sababu mimi ni mpole sana atanionea,
ASANTE.
NB: kama unataka kujaribu nakuomba please usije PM, Ninamaanisha..
Watakapokuja pia utuambie kama tatizo limekwisha.
 
Hellow!
Habarini wapendwa mimi ni mwanamke, nahitaji mwanaume mwenye nia ya dhati, bila kujali nina mtoto au sina mtoto
SIFA ZANGU
Umri:30yrs
Marital Status:Single,sijawahi kuolewa
Colour:Maji ya kunde
Kabila:Mkinga
Education:Bachelor of degree
Kazi:Nimeajiriwa,
Dini:Mkristo- Roman catholic
Makaz: Dar-es-salaam

SIFA ZA MWANAUME NINAYEMUHITAJI
Umri: kati ya miaka 35 mpka 41
Height- sio muhimu
Colour:sio muhimu
Body size: sio muhimu pia
Makazi: DSM
Dini- mkristu
Kazi: awe anajishughulisha na kazi inayomwingizia kipato ili maisha yasonge
Ila tuh awe mwenye kujiheshimu, mapenzi ya kweli, asiwe muongo uwazi ndio kila kitu, asiwe mkali kwa sababu mimi ni mpole sana atanionea,
ASANTE.
NB: kama unataka kujaribu nakuomba please usije PM, Ninamaanisha..
Sawa
 
Hellow!
Habarini wapendwa mimi ni mwanamke, nahitaji mwanaume mwenye nia ya dhati, bila kujali nina mtoto au sina mtoto
SIFA ZANGU
Umri:30yrs
Marital Status:Single,sijawahi kuolewa
Colour:Maji ya kunde
Kabila:Mkinga
Education:Bachelor of degree
Kazi:Nimeajiriwa,
Dini:Mkristo- Roman catholic
Makaz: Dar-es-salaam

SIFA ZA MWANAUME NINAYEMUHITAJI
Umri: kati ya miaka 35 mpka 41
Height- sio muhimu
Colour:sio muhimu
Body size: sio muhimu pia
Makazi: DSM
Dini- mkristu
Kazi: awe anajishughulisha na kazi inayomwingizia kipato ili maisha yasonge
Ila tuh awe mwenye kujiheshimu, mapenzi ya kweli, asiwe muongo uwazi ndio kila kitu, asiwe mkali kwa sababu mimi ni mpole sana atanionea,
ASANTE.
NB: kama unataka kujaribu nakuomba please usije PM, Ninamaanisha..
njoo pm tuyajenge
 
My dear, having a child sio ulemavu.

Usimfiche mwanao Ili upate mwanaume.

Be proud of your child, let the man you meet know you have a child and leave it to him to decide if he can accept you or not. If not let him be.

Focus on yourself and your child, build your career....Muhimu uwe na kipato chako unachoweza kujisimamia na mwanao. Huyo mwanaume asije kuwa ndie means of survival kwako na the little champion.

Ukibweteka hakuna rangi utaacha kuona.
Kwani kasema ana mtoto?

Mi nimeona tu ana bachelor of degree...
 
Back
Top Bottom