Nahitaji mwanaume shupavu kwa ajili ya kunilinda kesho kwenye fiesta Dodoma

Nahitaji mwanaume shupavu kwa ajili ya kunilinda kesho kwenye fiesta Dodoma

Wengine tunatoa ulinzi ma saa 24,kwa iyo uko tayari, ntakua na wewe kila siku 24/7
 
Kesho nahitaj kwenda fiesta maana sijawahi nasikia huwa kuna fujo sana hivyo naogopa kwenda peke yangu.

Nahitaji rafiki atakayenilinda muda wote wakati wa fiesta kwa wale waliopo Dodoma tu malipo 50000.

Njoo pm tuma picha zako mbili sitaki maswali unasubir jibu basi.
Weka picha kwanza huko nyuma tuone kama panalipa afu ndo tutaku pm.
 
Kesho nahitaj kwenda fiesta maana sijawahi nasikia huwa kuna fujo sana hivyo naogopa kwenda peke yangu.

Nahitaji rafiki atakayenilinda muda wote wakati wa fiesta kwa wale waliopo Dodoma tu malipo 50000.

Njoo pm tuma picha zako mbili sitaki maswali unasubir jibu basi.
"nitakulinda"
nawe usiache kunitumia wakati wote usije ukafa na magonjwa....
 
Kesho nahitaj kwenda fiesta maana sijawahi nasikia huwa kuna fujo sana hivyo naogopa kwenda peke yangu.

Nahitaji rafiki atakayenilinda muda wote wakati wa fiesta kwa wale waliopo Dodoma tu malipo 50000.

Njoo pm tuma picha zako mbili sitaki maswali unasubir jibu basi.
picha yangu unaweza kukimbia mwili una misuli kama simba dume
 
Nipo mimi na natoa ulinzi wa uhakika tena buree kabisa![emoji4]
 
Hahahahahahaha, unatafuta mwanaume wa kukulinda embu tuma picha yako tukuone kwanza
 
Fursa ya papuch ipo,mi nipo dar,naweza kuja huko,.fanya hiv,hyo 50,nipe 10 tuu halaf hyo 40 fidia na papuch,sijali wewe ni mzur au mbaya,ilimrad una papuch tu.[emoji23]
 
Yani mtu apoteze muda wake kwa kupigwa na vumbi na baridi kwa 50 .... Dah
 
d228573ab2efb9edff70dc45e78c1a30.jpg
mm nipo hapa area d nitumie namba zako pm
 
Back
Top Bottom