Nahitaji mwanaume shupavu kwa ajili ya kunilinda kesho kwenye fiesta Dodoma

Wengine tunatoa ulinzi ma saa 24,kwa iyo uko tayari, ntakua na wewe kila siku 24/7
 
Weka picha kwanza huko nyuma tuone kama panalipa afu ndo tutaku pm.
 
"nitakulinda"
nawe usiache kunitumia wakati wote usije ukafa na magonjwa....
 
picha yangu unaweza kukimbia mwili una misuli kama simba dume
 
Nipo mimi na natoa ulinzi wa uhakika tena buree kabisa![emoji4]
 
Hahahahahahaha, unatafuta mwanaume wa kukulinda embu tuma picha yako tukuone kwanza
 
Fursa ya papuch ipo,mi nipo dar,naweza kuja huko,.fanya hiv,hyo 50,nipe 10 tuu halaf hyo 40 fidia na papuch,sijali wewe ni mzur au mbaya,ilimrad una papuch tu.[emoji23]
 
Yani mtu apoteze muda wake kwa kupigwa na vumbi na baridi kwa 50 .... Dah
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…