Naitwa nuhuHabari zenu
Kama heading inavyoeleza hapo juu Mimi ni mwanamke mwenye umri Wa miaka 30 nahitaji mume aliyekua serious kuhusu kuingia kwenye ndoa not jokes
Dini yangu ni Muslim, elimu yangu ni diploma nafanyakazi kwenye private company umri Wa m/ume uanzie 30 above
Aliye tayari aje PM for more information asanteni
FaizaFoxy nae anasemaga hajaolewa ila kaoana na mume wakeHataki kuolewa anataka kuoana, ndio maana bado hajapata mume !
Anaonekana amekaa mtata mtata.
kwa maana hiyo ndio ushanichinjia bahariniSijawahi na sitarajii kutoka na mwanaume wa humu. Natoa tu angalizo vijana wengi wa kiume wa humu hawana maadili na hekima na yote nimeweza kuwajua kwa michango yetu.
Wanaume wachache sana wanajielewa humu
Unatafuta mwanaume wa kuoana naye???? Mwanaume wa kukuoa sio kuoana.
Ukipata marioo utalalamika?
[/QU
Labda anataka na yeyey amuoe
Leta picha tukuone pengine una chunusi kama fenesiHabari zenu
Kama heading inavyoeleza hapo juu Mimi ni mwanamke mwenye umri Wa miaka 30 nahitaji mume aliyekua serious kuhusu kuingia kwenye ndoa not jokes
Dini yangu ni Muslim, elimu yangu ni diploma nafanyakazi kwenye private company umri Wa m/ume uanzie 30 above
Aliye tayari aje PM for more information asanteni
Vipi umepata magonjwa mangapi kutoka humu?Pole binti khanga. Humu ndani utapata walaghai wa mapenzi hakuna mwanamme alie serious kukuoa wewe.
Kama watafuta magonjwa na msongo wa mawazo wape hiyo nafasi