Nahitaji mwekezaji katika uchimbaji wa dhahabu singida

Nahitaji mwekezaji katika uchimbaji wa dhahabu singida

benjamathayo

Member
Joined
May 22, 2018
Posts
76
Reaction score
80
habar za mda huu wadau wote wa sekita ya madini
Kama nilivyotangulia kusema hapo juu nahitaji muwekezaji katika uchimbaji wa dhahabu mkoan singida nina lesen pml kuna maduara tayar udhalishaji ni 1gram kwa tani hadi 5gram kwa tani inategemea ni duara lina urefu gani lkn maduara yanapata miamba yakiwa na miters 3-5. Kwa atakaye penda uchimbaji naomba tuwasiliane.
 
Back
Top Bottom