Nahitaji mwenye diagram ya IST 1NZ FE na 2nz FE

Nahitaji mwenye diagram ya IST 1NZ FE na 2nz FE

Mkuu nakupata vipiii kiongoz me nilikuwa navyo ila nilivyohama toka sehem 1kwenda nyingine vitu viliibiwa vingine watt wametupa yaniii mkuu ndo maana naanza upya kutafuta nipe namba nikucheki au nicheki kwa 0653271318 iwe WhatsApp au kawaida ndugu yangu
hahahaha unaona sasa ulikuwa navyo na hukuweza kuvitunza sababu ulivipata kwa slope sana..ungeviacha pale ofisini mpaka leo vingekuwepo shida madogo nyie wabinafsi sana..ofisin vilikuwa vinawasaidia wote ww na wenzio leo wenzio wanapata shida coz nyie mlihamishia kwenu..zile chache mlizoziacha bado zipo..sasa now ukitaka diagram sio bure tena maana hata za mwanzo hazikuja bure..

0717228064 hahahahaha copro mwandambo..
 
Hahahahahahaahahha babu Joh hamna yaniii sio hvyo mzee baba
 
hahahaha unaona sasa ulikuwa navyo na hukuweza kuvitunza sababu ulivipata kwa slope sana..ungeviacha pale ofisini mpaka leo vingekuwepo shida madogo nyie wabinafsi sana..ofisin vilikuwa vinawasaidia wote ww na wenzio leo wenzio wanapata shida coz nyie mlihamishia kwenu..zile chache mlizoziacha bado zipo..sasa now ukitaka diagram sio bure tena maana hata za mwanzo hazikuja bure..

0717228064 hahahahaha copro mwandambo..
Ngoja niingie huko kaka unipe material fundi Wang hahahahahahahahahaha[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Ngoja niingie huko kaka unipe material fundi Wang hahahahahahahahahaha[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
njooo aisee nyumbani kumenoga sana kunazidi kkuwakwa moto sana ..1j
 
fundi acha uvivu fundi acha kutaka vya bureee..mseleleko utakufanya kila siku uwe nyuma diagram za bure haziwezi kidhi haja zako utapewa nusunusu..coz 1nz ipo kwenye body nyingi utapewa pin chache coz nyingine zinabadilika kutokana na body ya gari all in all mm nipo na diagram zooote gari yoyote hapa hata za mwaka 2021 ww njoo..shida mkipewa bure hamdhamin na kusababisha ufundi una drop..

ofisin pale kulikuwa na kabati la diagram na daftari zote mme vijana wameiba na kuzipoteza..

unafanya kazi ya mtu smart lipa kuanzia 10$ online acount kwa wiki 1 gari zote unapata diagram nnakilakitu ..au chini ya hapo mpaka 3$ au 5$ kwa gari moja tuu..au njoo mm nipo na acount nimelipia na huwa na lipia kwa mwaka ..nitakupa diagram original za gari husika .
Safi.

Mi nilishafeli gari yangu imekufa engine, kwa mujibu wa wataalamu wanasema imeua gasket seal, piston ring na pengin cylinder head...

Engine ni 2NZ ist, inatulia baada ya muda inatoa moshi mweupe mwiiiiingi saaana. Hapa nimeshauriwa kutafuta pesa kununua mswaki mpya tu.

Shida yangu ni!

Je kwa kipindi hiki cha kusubiria nipate pesa ya kununua engine/mswaki mwingine, je naweza kuendelea kuitumia hii gari bila kuongeza tatizo lolote??

Nifanye nini ili kuzuia huu moshi kutoka, napata shida saana barabarani napigiwa kelele, sometime watu wanakimbia wanadhan gari inataka kuwaka moto tafran yaaani.

Tunazuia vipi huu moshi na gari naitaka saana kuitumia hiii
 
Safi.

Mi nilishafeli gari yangu imekufa engine, kwa mujibu wa wataalamu wanasema imeua gasket seal, piston ring na pengin cylinder head...

Engine ni 2NZ ist, inatulia baada ya muda inatoa moshi mweupe mwiiiiingi saaana. Hapa nimeshauriwa kutafuta pesa kununua mswaki mpya tu.

Shida yangu ni!

Je kwa kipindi hiki cha kusubiria nipate pesa ya kununua engine/mswaki mwingine, je naweza kuendelea kuitumia hii gari bila kuongeza tatizo lolote??

Nifanye nini ili kuzuia huu moshi kutoka, napata shida saana barabarani napigiwa kelele, sometime watu wanakimbia wanadhan gari inataka kuwaka moto tafran yaaani.

Tunazuia vipi huu moshi na gari naitaka saana kuitumia hiii
Wanakuja
 
Safi.

Mi nilishafeli gari yangu imekufa engine, kwa mujibu wa wataalamu wanasema imeua gasket seal, piston ring na pengin cylinder head...

Engine ni 2NZ ist, inatulia baada ya muda inatoa moshi mweupe mwiiiiingi saaana. Hapa nimeshauriwa kutafuta pesa kununua mswaki mpya tu.

Shida yangu ni!

Je kwa kipindi hiki cha kusubiria nipate pesa ya kununua engine/mswaki mwingine, je naweza kuendelea kuitumia hii gari bila kuongeza tatizo lolote??

Nifanye nini ili kuzuia huu moshi kutoka, napata shida saana barabarani napigiwa kelele, sometime watu wanakimbia wanadhan gari inataka kuwaka moto tafran yaaani.

Tunazuia vipi huu moshi na gari naitaka saana kuitumia hiii

Wataalamu wanakuja, ila kama unajipanga kununua engine, tumia tuu, ikifa imekufa.

Nb: Sikujua kama Toyota zina shida. (Nadharia kwa European cars)
 
Back
Top Bottom