samurai JF-Expert Member Joined Oct 16, 2010 Posts 11,495 Reaction score 24,223 Jan 27, 2022 #21 hapa ndipo ile technolojia yetu ya wale jamaa inapokuwa haieleweki....kichwa hiki mpaka Bk one way angetoa hata 300k huyu....usafiri wao wenyewe una masharti kibao...wakati wangeurasimishi jamaa usiku angekuwa zake BK...
hapa ndipo ile technolojia yetu ya wale jamaa inapokuwa haieleweki....kichwa hiki mpaka Bk one way angetoa hata 300k huyu....usafiri wao wenyewe una masharti kibao...wakati wangeurasimishi jamaa usiku angekuwa zake BK...