Unique Flower
JF-Expert Member
- Apr 19, 2019
- 12,838
- 25,282
Umeanza lini hii biashara?Naomba mwenyeji atakaye mpokea unique flower mdada mfupi mremboo stendi mbeya .
Anionyeshe mahali pakulala na kula . Pasafi na pazuri.
Nikwa hiyo siku mmoja hiyo tu.
Good night
Unakusudia kuja lini?Naomba mwenyeji atakaye mpokea unique flower mdada mfupi mremboo stendi mbeya .
Anionyeshe mahali pakulala na kula . Pasafi na pazuri.
Nikwa hiyo siku mmoja hiyo tu.
Good night
Siku hizi unanitesaKesho MDA kama huu uko mbeya[emoji2]View attachment 2518841
Wachaana mimi ndo nimeshuka na kapricon muda sio mrefu.
Kiasi eh mynKumbe wewe Ni mfupi?
Kawaida tu ya watu halishkiniBajeti yako sh ngapi?
Naenda kukuweka sawa tokea juzi kwani umenipigia??[emoji35][emoji35][emoji35][emoji35][emoji35][emoji35]umeenda kufanya nn[emoji24][emoji24][emoji24]
Yes,maana asubuhi yake nasafiri TenaUnakusudia kuja lini?
Kwa siku moja tu; kwa kadiri ulivyo mji huu/jiji hili naani utaongeza siku.
1. Natakiwa niwe na sh.ngapi kula nakulala sehemu nzuri??Unakusudia kuja lini?
Kwa siku moja tu; kwa kadiri ulivyo mji huu/jiji hili naani utaongeza siku.
1 tuUnakusudia kuja lini?
Kwa siku moja tu; kwa kadiri ulivyo mji huu/jiji hili naani utaongeza siku.
[emoji23] uchokozi huuKesho MDA kama huu uko mbeya[emoji2]View attachment 2518841