Nahitaji mwenyeji mbeya wakunipokea

Nahitaji mwenyeji mbeya wakunipokea

Mbuzi kafia kwa muuza supu. Nipo nakusubiri. Utaniokoa na baridi nimefika hapa nina wiki sasa
 
Naomba mwenyeji atakaye mpokea unique flower mdada mfupi mremboo stendi mbeya .
Anionyeshe mahali pakulala na kula . Pasafi na pazuri.
Nikwa hiyo siku mmoja hiyo tu.
Good night
Nasikitika kuchelewa kuona huu uzi .

Niko tayari kukupokea binti yangu ikiwa haujapata mtu

Karibu Unique Flower
 
Back
Top Bottom