Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mrejesho ni huu hata wakiniringia nitaenda mwenyewe sinananauliNgoja nisubiri mrejesho.
Siku ukija +267 uniambie nikupokeeNaomba mwenyeji atakaye mpokea unique flower mdada mfupi mremboo stendi mbeya .
Anionyeshe mahali pakulala na kula . Pasafi na pazuri.
Nikwa hiyo siku mmoja hiyo tu.
Good night
Acha utaniSiku ukija +267 uniambie nikupokee
NiambieWeeee
Kuna samaki wakubwa pale aisee HUTOJUTAHalafu
Unique Flower anakuita💕💕Mi hapa cute
Wanakuringia kivipi huku nimecheck comment nyingi , wanahitaji kukupokea.Mrejesho ni huu hata wakiniringia nitaenda mwenyewe sinananauli
Achana Na Mimi bwana nazinguaWanakuringia kivipi huku nimecheck comment nyingi , wanahitaji kukupokea.
Kama kawaida yako.Achana Na Mimi bwana nazingua
Hata chips kukausha hawajui ova ugali😔Mkoa wa kishamba ule
Wana vyakula vingi,ila kupika hawajui kabisa
Nyie mlienda wapi ambapo hawajui mapishi? Mnaijua Mbeya vizuri kweli nyie usikute umeenda kwenye kiHotel kimoja basi uka generalize kote kuko ivyo.Hata chips kukausha hawajui ova ugali[emoji17]
Hahaa...mimi nilikula sehemu 3 tofauti...na maziwa yakawa yana kismell fulani hivi...argh..Nyie mlienda wapi ambapo hawajui mapishi? Mnaijua Mbeya vizuri kweli nyie usikute umeenda kwenye kiHotel kimoja basi uka generalize kote kuko ivyo.
Eti kuna sehemu wanakaanga dagaa mixer na Ndizi.Hata chips kukausha hawajui ova ugali😔
Nipo karibuMie natafuta wa Sumbawanga Kwa sasa