Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kwani baba watoto wako nini kimemsibu, samahani kama swali litasababisha bad memories.
Watoto watakua wangu au bado
utakua unawasiliana na mzazi mwenzako? kidogo huwa linachoma ilo, bt ur
a gud woman kwa kusema ukweli.
lililo jema ni kutengeneza utaratibu wa kuhusu hao watoto coz binadamu hususani sie wanaume huwa tuna wivu na shida ipo huyo baba yao atakakapo kuja kuwajulia hali akikuta mtoto umependeza atataka mkumbushie sa ndio shida hiyo.wataendelea kuwa wa baba yao ingawa hana mawasiliano nao
Take care of your children my dear achana na wanaume utakuja pata ukimwi ufe watoto wako wapate shida.watoto wa tatu hujachoka mchochomeo tu .Hapa nikiachika au nikiacha na mume wangu that's it .Nitalea wanangu na kujiburudisha binafsi .Life is to complicated to bring a stranger in your childrens life .Some are child abuser,controlling,.Nina
miaka 35 black beuty, umbo la kibantu nilishawahi kuolewa na nina
watoto watatu, ni mkristo,mpole, mvumilivu na mcha Mungu, mwenza awe mwenye upendo, heshima, mvumilivu
na anayejishughulisha au mwajiriwa awe dini yoyote umri 36-45,
nimeajiriwa serikalini,
lililo jema ni kutengeneza
utaratibu wa kuhusu hao watoto coz binadamu hususani sie wanaume huwa
tuna wivu na shida ipo huyo baba yao atakakapo kuja kuwajulia hali
akikuta mtoto umependeza atataka mkumbushie sa ndio shida hiyo.
Take care of your children
my dear achana na wanaume utakuja pata ukimwi ufe watoto wako wapate
shida.watoto wa tatu hujachoka mchochomeo tu .Hapa nikiachika au
nikiacha na mume wangu that's it .Nitalea wanangu na kujiburudisha
binafsi .Life is to complicated to bring a stranger in your childrens
life .Some are child abuser,controlling,.
Take care of your children my dear achana na wanaume utakuja pata ukimwi ufe watoto wako wapate shida.watoto wa tatu hujachoka mchochomeo tu .Hapa nikiachika au nikiacha na mume wangu that's it .Nitalea wanangu na kujiburudisha binafsi .Life is to complicated to bring a stranger in your childrens life .Some are child abuser,controlling,.
Mme anapatikana kwa
Yesu ebu piga goti umwombe yeye aatakupa mme bora nikutakie uvumilivu
mwema maana Mungu hachelewi wala hawai ubarikiwe