Gaddaf i06
JF-Expert Member
- Nov 14, 2022
- 1,770
- 2,841
mke utakaempata usije hapa kulalamika.Kivipi mkuu Gadaffi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mke utakaempata usije hapa kulalamika.Kivipi mkuu Gadaffi
Kwani hakuna jukwaa la malalamiko?mke utakaempata usije hapa kulalamika.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Kwani hakuna jukwaa la malalamiko?
hilo tangazo lako bora ungeweka facebook, wanawake waliomo humu ni wale wenye akili za kiume yaani ni zaidi ya unavyotaka wewe!Kwani hakuna jukwaa la malalamiko?
Asante sana mkuuChangamkia fursa rafiki,
Situmii Facebook mkuu,hilo tangazo lako bora ungeweka facebook, wanawake waliomo humu ni wale wenye akili za kiume yaani ni zaidi ya unavyotaka wewe!
Mm nawapenda african queens jaman wala usijali mpendwaKwahiyo sisi african queen hatuhitajiki kabisa[emoji1787][emoji1787][emoji1787] wenye identity ya africa
[emoji122][emoji122]Mm nawapenda african queens jaman wala usijali mpendwa
Mimi niko hapa nataka black beauty bibieHv ulishapata........du kumbe me mweusi [emoji17]basi tena
[emoji28]wee Sema kweliMimi niko hapa nataka black beauty bibie
Bado sijapata mkuu,kuwa mweusi it's better than weupe wa kwenye makopoHv ulishapata........du kumbe me mweusi [emoji17]basi tena
Ahsante bado natafutaKila la kheri...
Ahsante bado natafutaMkuu hujaleta feedback
Kwelii kabisaa nije Pm?[emoji28]wee Sema kweli
At your own risk [emoji5][emoji4]Kwelii kabisaa nije Pm?
Oohooo [emoji86][emoji86]At your own risk [emoji5][emoji4]
Benki una salio kiasi nikupe namba chapNdiyo ni mimi