Nahitaji Mwenza

we mzee wa kupendwa upo hapa! unataka kumchezea dada wa wAtu
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ harafu nimetoka kusoma uzi wake muda si mrefu mara anapendwa pendwa ofisini hadi kitaani kwao nashangaa na hapa anaanza kumtaka tena. Utafikiri kaganga cha kienyeji haka kajamaa hakaeleweki
 
[emoji23][emoji23][emoji23] harafu nimetoka kusoma uzi wake muda si mrefu mara anapendwa pendwa ofisini hadi kitaani kwao nashangaa na hapa anaanza kumtaka tena. Utafikiri kaganga cha kienyeji haka kajamaa hakaeleweki
Hahahaha mzee baba hapana bhana. Mambo haya bhana acha tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…