Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😂😂😂 harafu nimetoka kusoma uzi wake muda si mrefu mara anapendwa pendwa ofisini hadi kitaani kwao nashangaa na hapa anaanza kumtaka tena. Utafikiri kaganga cha kienyeji haka kajamaa hakaelewekiwe mzee wa kupendwa upo hapa! unataka kumchezea dada wa wAtu
Hahahaha mzee baba hapana bhana. Mambo haya bhana acha tu.[emoji23][emoji23][emoji23] harafu nimetoka kusoma uzi wake muda si mrefu mara anapendwa pendwa ofisini hadi kitaani kwao nashangaa na hapa anaanza kumtaka tena. Utafikiri kaganga cha kienyeji haka kajamaa hakaeleweki