kama ni kweli huko kanisani unakosaje?. Nina mpenda na kumtukuza Mungu aliyehai, dhehebu langu ni KKKT
Mambo happy....aise nimependa jinsi unavyotambuankuwa mwanaume ni kichwa cha familia.1. Mimi ni msichana wa Miaka 28, ninaishi Dar.
2. Nina mpenda na kumtukuza Mungu aliyehai, dhehebu langu ni KKKT.
3. Elimu yangu ni Degree na ninafanya kazi pia.
4. Napenda kufurahi, kujifunza mambo mbalimbali in all aspects of life kutoka kwa watu wenye positive mind na kufanya maendeleo.
❤️Ninaamini kuwa nitampata Mume mwema tu, mkweli, mwenyeupendo na Upeo angavu.
❤️Mwenye kumjua na kuwa na kiu ya kujifunza kumhusu Mungu ili akapate kuwa Kichwa bora cha familia.
❤️Mwenye kijitegemea kiuchumi na kujisimamia yeye mwenyewe kimawazo na kifikra.
Huko walipo hii wanaisoma kimya kimya midomo wameibinua kwa juu huku wakikutukana kimoyo moyo lakini ndiyo ukweli!!!A woman's greatest enemy is her age
Turudi kwenye mada hapa sio mahala sahihi pa kupata mwenza hapa ni kupata mchepuko au wa kukuondoa nyege tu
Hebu muache binti wa watu. 🤣Baada ya mtoa mada kuwaringia good men waliomtongoza in her 20's na kuchezea mishedede ya kila namna from handsome guys kina chads & Tyrone, sahivi anatafuta mwanaume boya wa kula naye uzee, sababu anaona umri unaenda na uzuri wake unapungua, hivyo anatafuta stara ya ndoa na mwanaume wa kumchuna hela Shadeeya To yeye
Tatizo tukija PM mnakuja kutunanga hapa.. hampo serious ... mnacheza na hisia zetu 🙂🙂1. Mimi ni msichana wa Miaka 28, ninaishi Dar.
2. Nina mpenda na kumtukuza Mungu aliyehai, dhehebu langu ni KKKT.
3. Elimu yangu ni Degree na ninafanya kazi pia.
4. Napenda kufurahi, kujifunza mambo mbalimbali in all aspects of life kutoka kwa watu wenye positive mind na kufanya maendeleo.
❤️Ninaamini kuwa nitampata Mume mwema tu, mkweli, mwenyeupendo na Upeo angavu.
❤️Mwenye kumjua na kuwa na kiu ya kujifunza kumhusu Mungu ili akapate kuwa Kichwa bora cha familia.
❤️Mwenye kijitegemea kiuchumi na kujisimamia yeye mwenyewe kimawazo na kifikra.
Tatizo tukija PM mnakuja kutunanga hapa.. hampo serious ... mnacheza na hisia zetu 🙂🙂
Wewe umeolewaKila la kheri mwaya.
Ndio.Wewe umeolewa
Hahahahaaa. Rusha tu ndoano rafiki.Tatizo tukija PM mnakuja kutunanga hapa.. hampo serious ... mnacheza na hisia zetu 🙂🙂
🙂🙂 mnatusema sana, labda tuwe tunaibuka na ID mpya.. message ushahidi mbaya zaidi wengine wanatucholaHahahahaaa. Rusha tu ndoano rafiki.
Ahaa sawa,Ndio.
1. Mimi ni msichana wa Miaka 28, ninaishi Dar.
2. Nina mpenda na kumtukuza Mungu aliyehai, dhehebu langu ni KKKT.
3. Elimu yangu ni Degree na ninafanya kazi pia.
4. Napenda kufurahi, kujifunza mambo mbalimbali in all aspects of life kutoka kwa watu wenye positive mind na kufanya maendeleo.
❤️Ninaamini kuwa nitampata Mume mwema tu, mkweli, mwenyeupendo na Upeo angavu.
❤️Mwenye kumjua na kuwa na kiu ya kujifunza kumhusu Mungu ili akapate kuwa Kichwa bora cha familia.
❤️Mwenye kijitegemea kiuchumi na kujisimamia yeye mwenyewe kimawazo na kifikra.