Nahitaji mwenzi wa maisha

Nahitaji mwenzi wa maisha

MomTriplets

New Member
Joined
Dec 18, 2022
Posts
1
Reaction score
6
1. Mimi ni msichana wa Miaka 28, ninaishi Dar.

2. Nina mpenda na kumtukuza Mungu aliyehai, dhehebu langu ni KKKT.

3. Elimu yangu ni Degree na ninafanya kazi pia.

4. Napenda kufurahi, kujifunza mambo mbalimbali in all aspects of life kutoka kwa watu wenye positive mind na kufanya maendeleo.

❤️Ninaamini kuwa nitampata Mume mwema tu, mkweli, mwenyeupendo na Upeo angavu.

❤️Mwenye kumjua na kuwa na kiu ya kujifunza kumhusu Mungu ili akapate kuwa Kichwa bora cha familia.

❤️Mwenye kijitegemea kiuchumi na kujisimamia yeye mwenyewe kimawazo na kifikra.
 
Back
Top Bottom