Nahitaji niingie kwenye kilimo cha maharage

Nahitaji niingie kwenye kilimo cha maharage

Mkuu nakushauri uje huku kwenye betting hujalala masikini unaamka tajiri... Kama kesho demu ya simba kuweka simba kashindye ukaweka million million mbili faida unapata million 1.4 dani ya dakika chache (90min)

Maisha yako yatabadilika kwa muda mfupi sana kuliko kujichimbia samba unasubilia uvune n.k
 
Mkuu nakushauri uje huku kwenye betting hujalala masikini unaamka tajiri...
Kama kesho demu ya simba kuweka simba kashindye ukaweka million million mbili faida unapata million 1.4 dani ya dakika chache (90min)
Maisha yako yatabadilika kwa muda mfupi sana kuliko kujichimbia samba unasubilia uvune n.k
Mfuasi wa kanji kindaki ndaki tena wa kudumu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji2957][emoji115]
 
Lima haya hapa ,utakuja kunishukuru

Screenshot_20220218-163741.png


Screenshot_20220218-163815.png


Screenshot_20220218-163850.png
 
Kuna jamaa anagawa mbegu ila ulime kwenye shamba lake, mbegu bure, shamba hakukodishi, unalima mwenyewe, mazao ni yako.

Shida yake yeye ni kwamba unalima katikati ya parachichi zake hivyo unakuwa umemsafishia shamba kwa style hiyo.
 
Kuna jamaa anagawa mbegu ila ulime kwenye shamba lake, mbegu bure, shamba hakukodishi, unalima mwenyewe, mazao ni yako.

Shida yake yeye ni kwamba unalima katikati ya parachichi zake hivyo unakuwa umemsafishia shamba kwa style hiyo.
Duuuh, Shamba lipo wapi
 
Kuna jamaa anagawa mbegu ila ulime kwenye shamba lake, mbegu bure, shamba hakukodishi, unalima mwenyewe, mazao ni yako.

Shida yake yeye ni kwamba unalima katikati ya parachichi zake hivyo unakuwa umemsafishia shamba kwa style hiyo.
Jamaa ana mbinu nzuri sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom