Chrysanthemum JF-Expert Member Joined Oct 28, 2016 Posts 1,531 Reaction score 5,787 Feb 22, 2022 #21 Chingaboy said: Sehemu gani mm tractor ni nalo Click to expand... Kuna kijiji kiko milimani kinaitwa Njungwa , pazuri sana kwa maharage
Chingaboy said: Sehemu gani mm tractor ni nalo Click to expand... Kuna kijiji kiko milimani kinaitwa Njungwa , pazuri sana kwa maharage
Mr Slim JF-Expert Member Joined Sep 11, 2018 Posts 2,652 Reaction score 5,242 Feb 23, 2022 #22 don-mike said: Kuna jamaa anagawa mbegu ila ulime kwenye shamba lake, mbegu bure, shamba hakukodishi, unalima mwenyewe, mazao ni yako. Shida yake yeye ni kwamba unalima katikati ya parachichi zake hivyo unakuwa umemsafishia shamba kwa style hiyo. Click to expand... Mazao yanaoota chini ya miti(vivuli) no dhoofu. Mimea inahitaji mwanga kama Upo serious
don-mike said: Kuna jamaa anagawa mbegu ila ulime kwenye shamba lake, mbegu bure, shamba hakukodishi, unalima mwenyewe, mazao ni yako. Shida yake yeye ni kwamba unalima katikati ya parachichi zake hivyo unakuwa umemsafishia shamba kwa style hiyo. Click to expand... Mazao yanaoota chini ya miti(vivuli) no dhoofu. Mimea inahitaji mwanga kama Upo serious
D don-mike JF-Expert Member Joined Apr 3, 2011 Posts 600 Reaction score 1,178 Feb 24, 2022 #23 Mr Slim said: Mazao yanaoota chini ya miti(vivuli) no dhoofu. Mimea inahitaji mwanga kama Upo serious Click to expand... Parachichi bado ndogo ndio maana inafanyika hivyo.
Mr Slim said: Mazao yanaoota chini ya miti(vivuli) no dhoofu. Mimea inahitaji mwanga kama Upo serious Click to expand... Parachichi bado ndogo ndio maana inafanyika hivyo.