Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tumia mafuta ya ubuyu kijiko kikubwa1 asubuhi na jioni hvyohyo natumai itakusaidia kwani mimi ilinisaidiaJamani hizi rushes plus pimples usoni hadi zinaniondolea confidence coz nabaki na madoa uson.
Msaada-naomba ushauri kuhusu nini nifanye na lotion gani nitumie to keep my face soft..Nawasilisha
Asante sn,ntajaribu.ila ujanambia kama ni kupaka au kunywa ndugu yangu mana cjapata kuyaona.na je,ntayapata maduka ya dawa ya kawaida au wapi
Jamani hizi rushes plus pimples usoni hadi zinaniondolea confidence coz nabaki na madoa uson.
Msaada-naomba ushauri kuhusu nini nifanye na lotion gani nitumie to keep my face soft..Nawasilisha
Jamani hizi rushes plus pimples usoni hadi zinaniondolea confidence coz nabaki na madoa uson.
Msaada-naomba ushauri kuhusu nini nifanye na lotion gani nitumie to keep my face soft..Nawasilisha
duh mbn ni ka mchakato!!very simple
kunywa juice ya tango lita moja kila siku
mara tatu kwa wiki kunywa mchanganyiko wa mayai mawili ya kienyeji mabichi... asali ya nyuki wadogo na maziwa
jipake mafuta ya nazi mix na asali
utateleza kama mwaliiduh mbn ni ka mchakato!!
basi asante ntajaribu maana na mimi mule mule mkuu!!utateleza kama mwalii
wewe wa kike?basi asante ntajaribu maana na mimi mule mule mkuu!!
heheeeee "me" mimiwewe wa kike?
sasa unataka kuwa mwali ili iweje?heheeeee "me" mimi
very simple
kunywa juice ya tango lita moja kila siku
mara tatu kwa wiki kunywa mchanganyiko wa mayai mawili ya kienyeji mabichi... asali ya nyuki wadogo na maziwa
jipake mafuta ya nazi mix na asali