Nahitaji niwe soften face

Nahitaji niwe soften face

jipake 'goli' kutwa mara mbili, ila liwe goli fresh. kuna jamaa wamepona kwa style hyo
 
Jaribu kutibu ngozi yako kwa ndani ndugu urembo hauanzii nje unaanzia ndani yawezekana tatizo lako liko ndani hata ufanyeje upake nini it wont work kwasababu hujaondoa tatizo
Jaribu kutumia product zinazotibu kwa ndani na sio nje
Wasiliana nami kwa
Email consultationlifestyle@gmail.com
Mobile: 0754933253
 
very simple
kunywa juice ya tango lita moja kila siku
mara tatu kwa wiki kunywa mchanganyiko wa mayai mawili ya kienyeji mabichi... asali ya nyuki wadogo na maziwa
jipake mafuta ya nazi mix na asali


Is that simple? kunywa juisi lita moja kila siku mbona shughuli.
 
Nitafute kwa msaada kuhusu namna ya kuweza kufanya ngozi iwe nzuri na nyororo kwa kutumia lishe iliyoandaliwa kiasilia isiyokuwa na madhara kiafya na pia imethibitishwa na mamlaka ya chakula na dawa nchini. ishealthy@hotmail.com
 
we kunywa maji mengi na tumia protex nyeupe baasi,kaazi kwisha
 
Back
Top Bottom