Najua inaweza kuwa kama kichekesho lakini najua sehemu nyingi za Tanzania hasa mikoa ya kusini nyama ya panya ni kitoweo kituzi tu.
Kwa yeyote anayeweza kunipatia kunipatia uhakika wa kuleta kitoweo hicho Arusha tuwasiliane kwa Whatsapp 06563888678 au meseji 0789904445.
Tafadhali uwe na uhakika wa kuwa nacho katika ubora tangu maandalizi yake mpaka kukisafirisha na kifike kikiwa fresh.
Bei tutaongea au unaweza pia kujibu kwenye thread hii.
Kwa yeyote anayeweza kunipatia kunipatia uhakika wa kuleta kitoweo hicho Arusha tuwasiliane kwa Whatsapp 06563888678 au meseji 0789904445.
Tafadhali uwe na uhakika wa kuwa nacho katika ubora tangu maandalizi yake mpaka kukisafirisha na kifike kikiwa fresh.
Bei tutaongea au unaweza pia kujibu kwenye thread hii.