Nahitaji nyama ya panya Arusha!

Nahitaji nyama ya panya Arusha!

raslimali

JF-Expert Member
Joined
Nov 4, 2014
Posts
1,958
Reaction score
1,744
Najua inaweza kuwa kama kichekesho lakini najua sehemu nyingi za Tanzania hasa mikoa ya kusini nyama ya panya ni kitoweo kituzi tu.

Kwa yeyote anayeweza kunipatia kunipatia uhakika wa kuleta kitoweo hicho Arusha tuwasiliane kwa Whatsapp 06563888678 au meseji 0789904445.

Tafadhali uwe na uhakika wa kuwa nacho katika ubora tangu maandalizi yake mpaka kukisafirisha na kifike kikiwa fresh.

Bei tutaongea au unaweza pia kujibu kwenye thread hii.
 
Najua inaweza kuwa kama kichekesho lakini najua sehemu nyingi za Tanzania hasa mikoa ya kusini nyama ya panya ni kitoweo kituri tu. Kwa yeyote anayeweza kunipatia kunipatia uhakika wa kuleta kitoweo hicho Arusha tuwasiliane kwa Whatsapp 06563888678 au meseji 0789904445. Tafadhali uwe na uhakika wa kuwa nacho katika ubora tangu maandalizi yake mpaka kukisafirisha na kifike kikiwa fresh. Bei tutaongea au unaweza pia kujibu kwenye thread hii.
Depal huko kwako hamna panya wa kutosha? Deal hili hapa
Any one to join the team....
 
Najua inaweza kuwa kama kichekesho lakini najua sehemu nyingi za Tanzania hasa mikoa ya kusini nyama ya panya ni kitoweo kituzi tu.

Kwa yeyote anayeweza kunipatia kunipatia uhakika wa kuleta kitoweo hicho Arusha tuwasiliane kwa Whatsapp 06563888678 au meseji 0789904445.

Tafadhali uwe na uhakika wa kuwa nacho katika ubora tangu maandalizi yake mpaka kukisafirisha na kifike kikiwa fresh.

Bei tutaongea au unaweza pia kujibu kwenye thread hii.
Nipo Dodoma,ngoja waje shemeji zangu mihanyenye nao wanatumia hicho kiteoa!
 
Najua inaweza kuwa kama kichekesho lakini najua sehemu nyingi za Tanzania hasa mikoa ya kusini nyama ya panya ni kitoweo kituzi tu.

Kwa yeyote anayeweza kunipatia kunipatia uhakika wa kuleta kitoweo hicho Arusha tuwasiliane kwa Whatsapp 06563888678 au meseji 0789904445.

Tafadhali uwe na uhakika wa kuwa nacho katika ubora tangu maandalizi yake mpaka kukisafirisha na kifike kikiwa fresh.

Bei tutaongea au unaweza pia kujibu kwenye thread hii.
Naona unamkakati wa kuwa NYAU!!!
 
Najua inaweza kuwa kama kichekesho lakini najua sehemu nyingi za Tanzania hasa mikoa ya kusini nyama ya panya ni kitoweo kituzi tu.

Kwa yeyote anayeweza kunipatia kunipatia uhakika wa kuleta kitoweo hicho Arusha tuwasiliane kwa Whatsapp 06563888678 au meseji 0789904445.

Tafadhali uwe na uhakika wa kuwa nacho katika ubora tangu maandalizi yake mpaka kukisafirisha na kifike kikiwa fresh.

Bei tutaongea au unaweza pia kujibu kwenye thread hii.
Sasa siuzame hapo kusini mwenyewe.
 
Toa bei elekezi ww ndio mnunuzi unaejua bei zake. Na Mimi nitakupa bei kulingana na changamoto ya upatikanaji na uandaaji
 
Back
Top Bottom