Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kanda ya kati yaani mikoa ya Dodoma, Morogoro na Singida kitoweo chao kikuu ni nyama ya punda.
Kwa dodoma maeneo ya Mvumi nyama ya Punda inapatikana kiurahisi Kulinganisha na ya Ng'ombe. Nyama ya Punda huku dodoma inaitwa "Ndogowe".
Nyama ya punda??? Inaliwa???
pia kwa anayejua utaratibu wa export wa nyama angalau hata pa kuanzia nianze fuatilia
sasa ndugu kama unaweza kuwa namba ya
mtu anayeweza nisaidia kupata hao punda naomba unisaidie
sasa ndugu kama unaweza kuwa namba ya
mtu anayeweza nisaidia kupata hao punda naomba unisaidie
Ukishagaa ya musa ..
Ndio maana uwa sili nyama mahotelini.
Tuwasiliane mkuu mi naweza kukuletea hadi dar na nikishafikisha kila punda mkubwa sh 500,000/= kadilio la juu!
Awe na namba kwani yeye amesema anajihusisha na uchinjaji wa punda?
Halafu kwa nini unakuwa mvivu kiasi hiki? ameshakutajia maeneo yote husika, bado unataka akutafutie na namba ya simu???
CC: mandelaa1
Kanda ya kati yaani mikoa ya Dodoma, Morogoro na Singida kitoweo chao kikuu ni nyama ya punda.
Kwa dodoma maeneo ya Mvumi nyama ya Punda inapatikana kiurahisi Kulinganisha na ya Ng'ombe. Nyama ya Punda huku dodoma inaitwa "Ndogowe".
Haramu siyo HALAL FOODhabari. Kuna hitajika nyama ya punda kwa ajili ya export .Sasa nahitaji information nitapata wapi hizo nyama za punda na utaratibu wote wa kisheria unaohitajika kuanzia kuchinja na kusafirisha. Mwenye taarifa anisaidie ni kitu serious kabisa
Ha Ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha haaaaaaaaaaah, sijawahi kufikiria kuwa punda analiwa