Sipitia kwa dalali mkuu, nilibahatika toka kwa mwenye nyumba mwenyewe.
Pia it was beyond my expectations maana nilipata nyumba yenye rooms tatu za kulala ambapo moja ni master, sebute kubwa sanaaa, jiko, store, fanced halafu parking hata gari 8 ni hapo Maweni jirani na G5.