Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 70,916
- 141,437
- Thread starter
- #221
Yeah kama kile kibibi cha tik toksasa miaka 60 nikuambie mambo vipi auðŸ˜ðŸ˜ðŸ˜
Boongo eeeh... Bongo dar esalaam😅😅😅😅
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yeah kama kile kibibi cha tik toksasa miaka 60 nikuambie mambo vipi auðŸ˜ðŸ˜ðŸ˜
Boongo eeeh... Bongo dar esalaam😅😅😅😅
Komaa nae kitaeleweka.
Natafuta age mate 😹Evelyn Salt 😄😄kama nakuona vile umri umeenda sasaivi km unatafuta papaa wa miaka 70+🤣🤣🤣
Sasa hivi anasema eti ameokoka, sijui hata nimbembeleze kwa staili gani.Hujachelewa 🥴
Karibu kanisaniSasa hivi anasema eti ameokoka, sijui hata nimbembeleze kwa staili gani.
Nitakuja, ila usiniambie tendo hadi tufunge ndoa, hilo sharti linaweza kunishinda.Karibu kanisani
Huyu alikua anahitaji kipindi hicho ila kwa sasa hana budi kupata vi ankol kama poorKomaa nae kitaeleweka.
We komaa Kama unapasua kokoto.
Ukikosa unaconsider dam changa😄Natafuta age mate 😹
Ule pesa zangu, hapana 😹Ukikosa unaconsider dam changa😄
Tumbua feki🤔🤔
Nasimama nafasi yangu km mwanaume😄😄Ule pesa zangu, hapana 😹
OMG!! Ilikuwaje nikapishana na hili gari la mshahara!!!! Sifa zote na zile za ziada, ninazo eti.Sifa nnazohitaji:
Umri 40+
awe mfanyabiashara kama ni muajiriwa iwe kazi ya kueleweka
kama ni MBA poa tu (simaanishi masters).
mrefu ili niwe comfortable hata kutembea nae njiani,
akiwa mfupi sawa ila ndo tutakuwa tunatembea kama bata mi mbele ye nyuma!!!!!
sura si kigezo, mwanaume hasifiwi sura
sijaweka sifa nyingi kwani mie sihitaji ndoa....
Pm zitajibiwa kasoro za ID mpya make najua ni wazinguaji
vema ukitumia ID ya siku zote ili iwe rahisi kwangu kujua we ni mtu wa aina gani
na interest zetu kama zinaendana
wadandiaji, washauri na wahubiri siwataki hapa ni love connect!!!!!
Vp sie wenye matango tuna vigezo au mnataka wenye vibamia tuSifa nnazohitaji:
Umri 40+
awe mfanyabiashara kama ni muajiriwa iwe kazi ya kueleweka
kama ni MBA poa tu (simaanishi masters).
mrefu ili niwe comfortable hata kutembea nae njiani,
akiwa mfupi sawa ila ndo tutakuwa tunatembea kama bata mi mbele ye nyuma!!!!!
sura si kigezo, mwanaume hasifiwi sura
sijaweka sifa nyingi kwani mie sihitaji ndoa....
Pm zitajibiwa kasoro za ID mpya make najua ni wazinguaji
vema ukitumia ID ya siku zote ili iwe rahisi kwangu kujua we ni mtu wa aina gani
na interest zetu kama zinaendana
wadandiaji, washauri na wahubiri siwataki hapa ni love connect!!!!!
Huyo ni bingwa wa matangoVp sie wenye matango tuna vigezo au mnataka wenye vibamia tu
ASeme tuzame inbox tuone tunayajengaje?Huyo ni bingwa wa matango
Kwani uko wapi ?Sifa nnazohitaji:
Umri 40+
awe mfanyabiashara kama ni muajiriwa iwe kazi ya kueleweka
kama ni MBA poa tu (simaanishi masters).
mrefu ili niwe comfortable hata kutembea nae njiani,
akiwa mfupi sawa ila ndo tutakuwa tunatembea kama bata mi mbele ye nyuma!!!!!
sura si kigezo, mwanaume hasifiwi sura
sijaweka sifa nyingi kwani mie sihitaji ndoa....
Pm zitajibiwa kasoro za ID mpya make najua ni wazinguaji
vema ukitumia ID ya siku zote ili iwe rahisi kwangu kujua we ni mtu wa aina gani
na interest zetu kama zinaendana
wadandiaji, washauri na wahubiri siwataki hapa ni love connect!!!!!