msabillah
JF-Expert Member
- Dec 5, 2011
- 4,764
- 3,192
Mkuu ilikuwa vizuri kama ungeweka hapa nasisi wengine tupate kufahamu.Usijali Brother, nitext nikupe maelezo ki urefu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu ilikuwa vizuri kama ungeweka hapa nasisi wengine tupate kufahamu.Usijali Brother, nitext nikupe maelezo ki urefu.
Acha kuwaza mambo hayo banaatalizwa mtu
Usijali Brother, ndo binadam, hatuwez wote kuwa sawa. Inatupasa kujifunza kustahimili negativity kutoka kwa watu negative Kama hao.Acha kuwaza mambo hayo bana
Nina brother ana deal na freezer brand new. Mm natumia brand za mo electro. Wastan Lita 150 kwalaki 5 Hadi /laki 4.5.Mkuu ilikuwa vizuri kama ungeweka hapa nasisi wengine tupate kufahamu.
Labda kama umeficha kwenye faida. Ni ndogo mno 450k kwa kugawana watu wa wili ni kazi ngumu. Labda kama mtu akija chemba mnaweza kuongea vizur...... Is it possible mtu aweke 3.5 hadi tano then atoke. Na laki mbili na nusu kwa mwezi.???Nilikuwa na mtaji cash Mil 4.5. Nimefanya matumizi na kubakiwa na cash ya mzunguko 1.5M.
Matumizi.
Freezer 2. 800,000/-
Pikipiki 1. 1,300,000/-
Baiskel. 1. 150,000/-
Kodi. 600,000/-
Mizan n.k. 200,000/-
Total. 3,050,000/-
Wastan wa faida kwa mwezi ni Tsh 450,000- 600,000/-.
Hujaelewa kaka, Capital ikiongezeka obvisiously na Faida itaongezeka...Amesema cash ya mzunguko ni 1.5M so akipata patner akaongezea mtaji basi lazima na faida itakua juuLabda kama umeficha kwenye faida. Ni ndogo mno 450k kwa kugawana watu wa wili ni kazi ngumu. Labda kama mtu akija chemba mnaweza kuongea vizur...... Is it possible mtu aweke 3.5 hadi tano then atoke. Na laki mbili na nusu kwa mwezi.???
Samahani, labda tumeelewa tofauti. Namaanisha kwa wastani wa capital ya 4M unaweza pata 450,000/- Hadi 600,000/- kwa mwezi Kama faida.Labda kama umeficha kwenye faida. Ni ndogo mno 450k kwa kugawana watu wa wili ni kazi ngumu. Labda kama mtu akija chemba mnaweza kuongea vizur...... Is it possible mtu aweke 3.5 hadi tano then atoke. Na laki mbili na nusu kwa mwezi.???
Samahani, labda tumeelewa tofauti. Namaanisha kwa wastani wa capital ya 4M unaweza pata 450,000/- Hadi 600,000/- kwa mwezi Kama faida.Labda kama umeficha kwenye faida. Ni ndogo mno 450k kwa kugawana watu wa wili ni kazi ngumu. Labda kama mtu akija chemba mnaweza kuongea vizur...... Is it possible mtu aweke 3.5 hadi tano then atoke. Na laki mbili na nusu kwa mwezi.???
Asante kwa ufafanuzi zaidi Mkuu! Ni kweli, capital ikiongezeka na faida automatically itapanda.Hujaelewa kaka, Capital ikiongezeka obvisiously na Faida itaongezeka...Amesema cash ya mzunguko ni 1.5M so akipata patner akaongezea mtaji basi lazima na faida itakua juu
Nimeelewa. So hapo muwekezaji anatakiwa kujihusisha kwenye biashara moja kwa moja au anatoa hela alafu anakaa pembeni kazi inafanywa.? Yeye anachukua tu posho yake mwisho wa mwezi.Samahani, labda tumeelewa tofauti. Namaanisha kwa wastani wa capital ya 4M unaweza pata 450,000/- Hadi 600,000/- kwa mwezi Kama faida.
Yaani roughly faida huwa ni 10% ya capital yako kila mwezi.
Karibu Sana, lengo tufanye pamoja, uwepo nawe kwenye mishe nzima aidha bandani, ofisini au kwenye ku interact na wateja, ni business yetu tuifanye pamoja.Nimeelewa. So hapo muwekezaji anatakiwa kujihusisha kwenye biashara moja kwa moja au anatoa hela alafu anakaa pembeni kazi inafanywa.? Yeye anachukua tu posho yake mwisho wa mwezi.
Asante Sana brother. Kweli Target ni kuongeza vifaa pia sio hela yote kuingia kwenye mtaji. Hiyo collection point itakuwa na facilities zake za kujitegemea.Hongera sana, ushirikiano ni jambo zuri sana na lenye manufaa. Ukipata mwelewa mkafanya biashara kama ndugu na kuwekeza mtaji huku MUNGU akiwa pamoja nanyi mtafanikiwa.
Lakini kuna mbadala wa mawazo chanya ambayo mnaweza kuyaweka akilini:
KWAKO WEWE UNAYEVUTIWA NA KUWEKEZA
Unaweza pata maelezo ya aina hii:
"Pikipiki imegongwa na hice kuku wote" wamemwagika na kuibiwa, pikipiki imeharibika hatuwezi kufanya delivery.
"Umeme umekatika katika wiki nzima kuku wote wananuka uvundo".
"Vibaka wamevunja friji, kuku wote wameondoka nao".
"Idadi ya wauza kuku imeongezeka tupo tu hapa na kuku wetu hamna wateja n.k n.k n.k"
UWE MWELEWA YATAKAPOTOKEA NI SEHEMU YA BIASHARA PIA, USIPOTEZE MUDA POLISI AU MAHAKAMANI NI GHARAMA ZAIDI.
KWAKO WEWE MWENYE BIASHARA
Mbadala wa kualika partners ni sehemu ya hiyo faida ya 450,000 mpaka 600,000 kuirudisha kwenye mtaji.
SABABU.
Ongezeko la mtaji mpya lina gharama, mtaji zaidi gharama zaidi. Kama umetumia Tsh 1.5 kuhudumia watu wa kukupa faida ya 400k mpaka 600k kwa gharama ya 2m(Pkpk, baiskeli na kodi) basi utakapokuwa na wateja wa kukupa faida double kwa kuongeza mtaji lazima gharama nazo zitaongezeka karibu mara mbili ukiacha kodi ambayo ni mara moja.
Usifanye kosa la kufikiri kuwa pikipiki ile ile, baiskeli ile ile itafanya kazi kwa gharama zile zile kwa mtaji mkubwa na kwa faida kubwa zaidi.
Faida ukiirudisha kwenye mtaji taratibu gharama nazo zinaobgezeka taratibu, ni rahisi kuona tatizo tofauti na kuingiza mtaji mwingi, gharama zinakuja juu ghafla na unaweza usione tatizo na ukumbuke unakuwa na deni la mtaji mpya.
KILA LA HERI.
Sawa mkuu shukraniUsijali Brother. Karibu tubadilishane uzoefu ukiwa na wasaa. Na Mola atakujaalia utapata capital.
Usijali Brother, tutatafutana. Upo wapi?Bro vp kuna hakuna hata kanafasi ka kazi hapo kwako maana mtaani spana zinatembea c mchezo
Hongera Mr kuku, Ila mukiwapiga walimu wastaafu muwe mnakumbuka kuwa iko siku nanyi mtastaafu.Habari za Leo Wanafamilia!
Pole na Majukum, Mm naitwa Hussein, naishi Tandika Magorofan, nna miaka 34, nna mke na watoto watatu.
Nnajishughulisha na Ufugaji, utengenezaji dawa za Asili za Kuku na uuzaji wa Kuku, kwa Sasa nimejikita zaidi kwenye Kuku wa nyama kwa kuwanunua directly kwa Wafugaji wengine au sokoni, kuwapack na kuwauuza mahotelini, mabuchani au kwenye migahawa kwa taratibu za kulipana on delivery au on credit ambapo wengi hupenda style hii.
Kutokana na kuongezeka kwa soko, na wateja wakubwa wakibaki wale wa credit imenilazimu kusaka mshirika wa kufanya nae hii biashara ili tugawane kwa kile kinachopatikana.
Mshirika atakuja kuongeza nguvu ya freezer mbili na capital ya kununua Kuku wastani 400 kila week. Ambapo nakusudia kuwe na collection point maeneo ya Kigambon, maana ukanda ule nao umebarikiwa Wafugaji wengi na nimeishi kule kipindi nafuga maeneo ya Dege.
Kwa wastani Mshirika atapaswa kuwa na capital ya Tsh Mil 3.5 Hadi Mil 5. Au wakipatikana Wawili itakuwa vzr zaidi kila mmoja atachangia pale mkono wake utakapoweza jikuna.
Wastani wa faida kwa mwezi tukitoa gharama za uendeshaji ni 10% ya capital ya kila Mshirika. Tunaweza fanya contract ya miezi 6 na kuendelea kulingana na mapenzi ya Mshirika.
Unaweza chukua capital yako kwa kutoa notice ya siku 30 kabla ili kwa mwezi husika usiwe included kwenye mgao wa faida.
Naimani mengine tutayaweka sawa pindi tukikaa mezani.
Natanguliza Shukran Sana.
Kwa mawasiliano Zaidi,
0784 645 900
0624 7400 12
Unaweza pitia fb na Instagram kwa Kukucaretz na Sokoni fresh Tz.
View attachment 1821287
View attachment 1821288
View attachment 1821289
View attachment 1821290
View attachment 1821292
Nipo dar kijitonyama mkuu ungeniachia namba yako ungekuwa umenisaidia sana kwa mawasilianoUsijali Brother, tutatafutana. Upo wapi?
0784645900. Hiyo hapo brotherNipo dar kijitonyama mkuu ungeniachia namba yako ungekuwa umenisaidia sana kwa mawasiliano
Shukrani brother 🙏🙏0784645900. Hiyo hapo brother