Nahitaji Partner au Partners 2 Tufanye biashara ya Kuuza Kuku Pamoja

Labda kama umeficha kwenye faida. Ni ndogo mno 450k kwa kugawana watu wa wili ni kazi ngumu. Labda kama mtu akija chemba mnaweza kuongea vizur...... Is it possible mtu aweke 3.5 hadi tano then atoke. Na laki mbili na nusu kwa mwezi.???
 
Labda kama umeficha kwenye faida. Ni ndogo mno 450k kwa kugawana watu wa wili ni kazi ngumu. Labda kama mtu akija chemba mnaweza kuongea vizur...... Is it possible mtu aweke 3.5 hadi tano then atoke. Na laki mbili na nusu kwa mwezi.???
Hujaelewa kaka, Capital ikiongezeka obvisiously na Faida itaongezeka...Amesema cash ya mzunguko ni 1.5M so akipata patner akaongezea mtaji basi lazima na faida itakua juu
 
Labda kama umeficha kwenye faida. Ni ndogo mno 450k kwa kugawana watu wa wili ni kazi ngumu. Labda kama mtu akija chemba mnaweza kuongea vizur...... Is it possible mtu aweke 3.5 hadi tano then atoke. Na laki mbili na nusu kwa mwezi.???
Samahani, labda tumeelewa tofauti. Namaanisha kwa wastani wa capital ya 4M unaweza pata 450,000/- Hadi 600,000/- kwa mwezi Kama faida.

Yaani roughly faida huwa ni 10% ya capital yako kila mwezi.
 
Labda kama umeficha kwenye faida. Ni ndogo mno 450k kwa kugawana watu wa wili ni kazi ngumu. Labda kama mtu akija chemba mnaweza kuongea vizur...... Is it possible mtu aweke 3.5 hadi tano then atoke. Na laki mbili na nusu kwa mwezi.???
Samahani, labda tumeelewa tofauti. Namaanisha kwa wastani wa capital ya 4M unaweza pata 450,000/- Hadi 600,000/- kwa mwezi Kama faida.

Yaani roughly faida huwa ni 10% ya capital yako kila mwezi
Hujaelewa kaka, Capital ikiongezeka obvisiously na Faida itaongezeka...Amesema cash ya mzunguko ni 1.5M so akipata patner akaongezea mtaji basi lazima na faida itakua juu
Asante kwa ufafanuzi zaidi Mkuu! Ni kweli, capital ikiongezeka na faida automatically itapanda.
 
Samahani, labda tumeelewa tofauti. Namaanisha kwa wastani wa capital ya 4M unaweza pata 450,000/- Hadi 600,000/- kwa mwezi Kama faida.

Yaani roughly faida huwa ni 10% ya capital yako kila mwezi.
Nimeelewa. So hapo muwekezaji anatakiwa kujihusisha kwenye biashara moja kwa moja au anatoa hela alafu anakaa pembeni kazi inafanywa.? Yeye anachukua tu posho yake mwisho wa mwezi.
 
Nimeelewa. So hapo muwekezaji anatakiwa kujihusisha kwenye biashara moja kwa moja au anatoa hela alafu anakaa pembeni kazi inafanywa.? Yeye anachukua tu posho yake mwisho wa mwezi.
Karibu Sana, lengo tufanye pamoja, uwepo nawe kwenye mishe nzima aidha bandani, ofisini au kwenye ku interact na wateja, ni business yetu tuifanye pamoja.
Incase umebanwa na majukum mengine, mlete mtu tufanye kazi pamoja hii ndo lengo hasa, tuwe team moja.

Ikishindikana kabisa kuwepo au kuleta mwakilishi wako Basi unaweza ukashiriki partially na angalau kila weekend unapokuwa free unakuja ofisini, tunapeana reports za wiki na projections za wiki inayokuja. Though sio kipaumbele option hii.
 
Hongera sana, ushirikiano ni jambo zuri sana na lenye manufaa. Ukipata mwelewa mkafanya biashara kama ndugu na kuwekeza mtaji huku MUNGU akiwa pamoja nanyi mtafanikiwa.

Lakini kuna mbadala wa mawazo chanya ambayo mnaweza kuyaweka akilini:

KWAKO WEWE UNAYEVUTIWA NA KUWEKEZA

Unaweza pata maelezo ya aina hii:

"Pikipiki imegongwa na hice kuku wote" wamemwagika na kuibiwa, pikipiki imeharibika hatuwezi kufanya delivery.

"Umeme umekatika katika wiki nzima kuku wote wananuka uvundo".

"Vibaka wamevunja friji, kuku wote wameondoka nao".

"Idadi ya wauza kuku imeongezeka tupo tu hapa na kuku wetu hamna wateja n.k n.k n.k"

UWE MWELEWA YATAKAPOTOKEA NI SEHEMU YA BIASHARA PIA, USIPOTEZE MUDA POLISI AU MAHAKAMANI NI GHARAMA ZAIDI.

KWAKO WEWE MWENYE BIASHARA

Mbadala wa kualika partners ni sehemu ya hiyo faida ya 450,000 mpaka 600,000 kuirudisha kwenye mtaji.


SABABU.
Ongezeko la mtaji mpya lina gharama, mtaji zaidi gharama zaidi. Kama umetumia Tsh 1.5 kuhudumia watu wa kukupa faida ya 400k mpaka 600k kwa gharama ya 2m(Pkpk, baiskeli na kodi) basi utakapokuwa na wateja wa kukupa faida double kwa kuongeza mtaji lazima gharama nazo zitaongezeka karibu mara mbili ukiacha kodi ambayo ni mara moja.

Usifanye kosa la kufikiri kuwa pikipiki ile ile, baiskeli ile ile itafanya kazi kwa gharama zile zile kwa mtaji mkubwa na kwa faida kubwa zaidi.

Faida ukiirudisha kwenye mtaji taratibu gharama nazo zinaongezeka taratibu na ni rahisi kuona tatizo tofauti na kuingiza mtaji mkubwa kwa haraka maana gharama zitakuja juu ghafla na unaweza usione tatizo na ukumbuke unakuwa na deni la mtaji mpya la kukilipa.

KILA LA HERI.
 
Asante Sana brother. Kweli Target ni kuongeza vifaa pia sio hela yote kuingia kwenye mtaji. Hiyo collection point itakuwa na facilities zake za kujitegemea.

Asante kwa Tahadhar na Mawazo endelevu zaidi.

Kweli, kuanzia Mwezi ujao Tukijaaliwa ntaanza savings na plans za kujitanua kuelekea Kigambon, hopefully mambo yatakaa sawa.
 
Bro vp kuna hakuna hata kanafasi ka kazi hapo kwako maana mtaani spana zinatembea c mchezo
 
Hongera Mr kuku, Ila mukiwapiga walimu wastaafu muwe mnakumbuka kuwa iko siku nanyi mtastaafu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…