Habari wakuu , Mimi ni mtumishi hivyo katika harakati za kupambana Ili kujitafutia mkate nimeona fursa katika vitu vya electronics hasa kwa watumishi kwa kuwa mm bado sipo vizuri kwa UPANDE wa mtaji naona vema nikatafuta mfanyabiashara ambaye tutaingia partnership ambapo Mimi nitafanya yafuatayo:
1. Kutafuta wateja katika halmashauri yangu nimelenga hasa watumishi wa serikali kwa asilimia kubwa ambao nitawauzia bidhaa AMBAZO mtu tutakayeingia ubia atakuwa nazo.
2. Kufanya derivery kwa watu wote ambao wapo katika hii halmashauri for free maana usafiri wa pikipiki ninao
Kwa kuanzia mmiliki wa bidhaa atanitumia picha halisi ya bidhaa alizonazo kama zilivyo kuepusha mis understanding na wateja then Mimi namwonesha mteja akiridhia kuchukua bidhaa na bei basi Mimi nitachukua pesa kwa mteja then nitakuja kwako kuchukua bidhaa na kumpelekea so tutaenda katika mtindo huo
Ninachohitaji kutoka kwako
1. Uaminifu nikiwa na maana ya kwamba ubora wa bidhaa, mzigo kupatikana kwa wakati, uhalisia wa mzigo na kutoa lisit za bidhaa
2. Punguzo la bei Ili angalau hata mimi niweze kupata hata kiasi chochote kwa Kila bidhaa baada ya kutoa gharama ya mafuta ya pikipiki kutegemea umbali wa mteja alipo
3. Bidhaa nazopendelea uwe nazo ni kama TV, SABWOOFER, n.k
Kwa ufupi Iko hivo
Binafsi nitajitahidi kadri niwezavyo kuhakikisha mteja anapata huduma Bora na kukidhi matamanio ya muuzaji kwa kutafuta wateja wengi niwezavyo
NB: derivery zote nitazifanya kuanzia saa 8 mchana na weekend baada ya muda wa kazi
Ahsante
Mawasiliano: 0746021481 calls/ Whatsapp
1. Kutafuta wateja katika halmashauri yangu nimelenga hasa watumishi wa serikali kwa asilimia kubwa ambao nitawauzia bidhaa AMBAZO mtu tutakayeingia ubia atakuwa nazo.
2. Kufanya derivery kwa watu wote ambao wapo katika hii halmashauri for free maana usafiri wa pikipiki ninao
Kwa kuanzia mmiliki wa bidhaa atanitumia picha halisi ya bidhaa alizonazo kama zilivyo kuepusha mis understanding na wateja then Mimi namwonesha mteja akiridhia kuchukua bidhaa na bei basi Mimi nitachukua pesa kwa mteja then nitakuja kwako kuchukua bidhaa na kumpelekea so tutaenda katika mtindo huo
Ninachohitaji kutoka kwako
1. Uaminifu nikiwa na maana ya kwamba ubora wa bidhaa, mzigo kupatikana kwa wakati, uhalisia wa mzigo na kutoa lisit za bidhaa
2. Punguzo la bei Ili angalau hata mimi niweze kupata hata kiasi chochote kwa Kila bidhaa baada ya kutoa gharama ya mafuta ya pikipiki kutegemea umbali wa mteja alipo
3. Bidhaa nazopendelea uwe nazo ni kama TV, SABWOOFER, n.k
Kwa ufupi Iko hivo
Binafsi nitajitahidi kadri niwezavyo kuhakikisha mteja anapata huduma Bora na kukidhi matamanio ya muuzaji kwa kutafuta wateja wengi niwezavyo
NB: derivery zote nitazifanya kuanzia saa 8 mchana na weekend baada ya muda wa kazi
Ahsante
Mawasiliano: 0746021481 calls/ Whatsapp