Dalali wa mjini
JF-Expert Member
- Oct 5, 2024
- 326
- 464
Weka details zote, za huo mpango, ili mtu anapokupigia inakuwa ni hatua moja mbele katika kushirikiana baada ya kujiridhisha na mpango kazi husika.Nahitaji mtu mmoja au mwanaume au mwanamke ambaye yupo tayari Kwa huu mpango wangu.
Imekaa kimchongo sana. Umeanza na Mkwara wa Risk takerHabari wakuu.
Mimi ni Dalali wa mavitu yote lakini nipo na wazo ambalo hili ni Kwa wale Risk Taker kama Mimi.
Nahitaji mtu mmoja au mwanaume au mwanamke ambaye yupo tayari Kwa huu mpango wangu.
Nipigie simu tuongee vizuri mkuu.
0754693556
Ni ni inshu ambayo nimeifanyia uchunguzi Kwa wanaofanya biashara hiyo.Imekaa kimchongo sana. Umeanza na Mkwara wa Risk taker
Magendo?Ni ni inshu ambayo nimeifanyia uchunguzi Kwa wanaofanya biashara hiyo.
Ila inahitahi roho ngumu kidogo.
Hahaha......Biashara ya kufuata madini Goma kwenda kuyauza Somalia
Hapana hapana hapana mkuu.Magendo?
😂 Mkuu huko kote Kwa nini wakati home Kuna ulaji.Biashara ya kufuata madini Goma kwenda kuyauza Somalia
Karibu mkuuNitarudi
Kazi ni kipimo cha utu
Mwalimu unajua fika ninavyokuheshimu kaka.Weka details zote, za huo mpango, ili mtu anapokupigia inakuwa ni hatua moja mbele katika kushirikiana baada ya kujiridhisha na mpango kazi husika.
Kila la heriMwalimu unajua fika ninavyokuheshimu kaka.
Sikutaka kuweka wazi na ndio maana nikaweka namba za simu.
Kwa heshima yako Tu naweka neno
Patna anatakiwa awe na milion 30 za Kitanzania ziwe bank au cash.
Utaokotwa weweMm nipo mpango ni upi nipate maokoto mie
Mkuu siwezi kufanya hivyo Kwa binti mbichi kama huyuUtaokotwa wewe
Mkuu siwezi kufanya hivyo Kwa binti mbichi kama huUtaokotwa wewe
Pamoja kakaKila la heri
Mkuu siwezi kufanya hivyo Kwa binti mbichi kama huyu