Mchane huyoSehemu ya kupotezea muda? Ndio maana waafrika tupo nyuma kimaendeleo by 1000 nautical miles!! Unaanzisha mradi afu unaufanya sehemu ya kupotezea muda.
Unafikiri ipo siku tutakuwa mbele kimaendeleo kuwazidi wazungu?Sehemu ya kupotezea muda? Ndio maana waafrika tupo nyuma kimaendeleo by 1000 nautical miles!! Unaanzisha mradi afu unaufanya sehemu ya kupotezea muda.
βββπ―π―π―Ndugu ukitaka kufanikiwa katika ufugaji wowote ule kwanza usiwe na pupa,pili usianze kuwekeza pesa nyingi.Fanya shughuli zako zinazokuingizia kipato huo ufugaji uwe kama sehemu ya kupotezea muda unapokuwa huru na majukumu mengine.
Ungeanza na bwawa moja tu na kununua vifaranga taratibu taratibu.Hakika utafanikiwa na hautapata hasara ya kukukatisha tamaa.
Mbona mabwawa umeyatelekeza hivyo?Ufugaji wa samaki uku kwetu kijijini.View attachment 1535526View attachment 1535528