Ambiele Kiviele
JF-Expert Member
- Dec 29, 2014
- 15,267
- 29,917
Ha ha ha ha!Umeamua kuchekesha jukwaa
weka taarifa zote hapa, 68 mln , 4 years, Dhamana ya mkopo, je utamudu riba kiasi ? na marejesho @ mwezi kiasi gani ? km utaweza sh 2,750,000= mwezi x miezi 48 karibu sana na uwe na dhamana ya 100 mlnNdugu zangu Naja kwenu
Nashida na M 68
Jaman Naitaji kufanya Biashara ya Pub Maeneo ya Kigambon
Nimeshapata eneo Lipo Sehem nzur tuu kwa Biashara iyo
Na uwakika Ndan Ya Miaka 4 nitakuwa nimesharejesha Hicho kias ambacho Atakuwa Amenikopesha uyo mtu
Iyo Ela Ni Pamoja Na kununua ilo Eneo Na Ujenz Wa Pub
Nipo Seriuos Jaman Naitaji kuwekeza Huko
Au Kama Kuna mtu Anaitaji ku share Zis Business Aje Pm
Shukran Ndugu Zangu
We na wewe ndo wale wale tu, njaa njaa na ujanja ujanja.weka taarifa zote hapa, 68 mln , 4 years, Dhamana ya mkopo, je utamudu riba kiasi ? na marejesho @ mwezi kiasi gani ? km utaweza sh 2,750,000= mwezi x miezi 48 karibu sana na uwe na dhamana ya 100 mln
Mbona yuko sahihi nenda bank alafu omba mkopo utajua riba Yake ikoje huyo MTU binafsi alafu ela ni ndefu sana acha alipe tu maana kwa maelezo aliyoandika hapo juu hakuna benk itakayompa mkopo kama huo kwa sasa kwa miaka minne ni sawa weka Na muda atakaa Na ela ya jamaa je angewekeza mwenyewe angepata ngapiWe na wewe ndo wale wale tu, njaa njaa na ujanja ujanja.
Yani kila mwezi sh 2.75M x 48 ni 132M hiyo afu kakopa 68M.
Sasa mtu akope 68M arudishe 132M huoni kama una upunguani kichwani mwako?
Shukran Kwa kunisaidiaWe na wewe ndo wale wale tu, njaa njaa na ujanja ujanja.
Yani kila mwezi sh 2.75M x 48 ni 132M hiyo afu kakopa 68M.
Sasa mtu akope 68M arudishe 132M huoni kama una upunguani kichwani mwako?
Kitu kip icho...??Huwa napingana sana na tafiti nyingi za hapa nyumbani ila huu Wa juzi juzi naanza kuamini kuna kitu
Kwa hiyo apewe mkopo wa miaka 4 bila riba?We na wewe ndo wale wale tu, njaa njaa na ujanja ujanja.
Yani kila mwezi sh 2.75M x 48 ni 132M hiyo afu kakopa 68M.
Sasa mtu akope 68M arudishe 132M huoni kama una upunguani kichwani mwako?
Riba ya karibu asilimia 50% sio?Kwa hiyo apewe mkopo wa miaka 4 bila riba?
We na wewe ndo wale wale tu, njaa njaa na ujanja ujanja.
Yani kila mwezi sh 2.75M x 48 ni 132M hiyo afu kakopa 68M.
Sasa mtu akope 68M arudishe 132M huoni kama una upunguani kichwani mwako?
Riba ya karibu asilimia 50% sio?
Noted!riba 50% ndogo sana jaribu kuuliza wafanyakazi wanaokopa bank tu nmb au crdb mkopo wa miaka 4 riba zao wanazolipa zinakuaje????
hata ukikopa milion 10 kwa miaka minne bank nyingi unalipa.zaidi ya milion 16
na hiyo ni non risk loan ambazo mwajiri anawadhamini....
kwa mkopo wa biashara risk kubwa na riba ni kubwaaa zaidi
Mkuu mambo yangu yameenda vibaya kidogo ningekupa tu ila subiri kontena zangu za sukari zikuruhusiwa pale bandarini nikiuza na kupata faida yake nitakupa uwe unanikumbushaga tu.Ndugu zangu Naja kwenu
Nashida na M 68
Jaman Naitaji kufanya Biashara ya Pub Maeneo ya Kigambon
Nimeshapata eneo Lipo Sehem nzur tuu kwa Biashara iyo
Na uwakika Ndan Ya Miaka 4 nitakuwa nimesharejesha Hicho kias ambacho Atakuwa Amenikopesha uyo mtu
Iyo Ela Ni Pamoja Na kununua ilo Eneo Na Ujenz Wa Pub
Nipo Seriuos Jaman Naitaji kuwekeza Huko
Au Kama Kuna mtu Anaitaji ku share Zis Business Aje Pm
Shukran Ndugu Zangu
riba 50% ndogo sana jaribu kuuliza wafanyakazi wanaokopa bank tu nmb au crdb mkopo wa miaka 4 riba zao wanazolipa zinakuaje????
hata ukikopa milion 10 kwa miaka minne bank nyingi unalipa.zaidi ya milion 16