Nahitaji pos nmb mwenye nayo tuongee biashara

Nahitaji pos nmb mwenye nayo tuongee biashara

Kati ya benki zenye mambo ya kipuuzi, basi NMB inaongoza. Wamesitisha utoaji wa hizo mashine na kuanzisha mfumo mpya wa simu ambao siyo rafiki hata kidogo kwa wateja na pia mawakala.

Wanakataa kutoa hizo mashine, huku benki nuingine kama CRDB zikiendelea kuzitumia. Wameacha kutoa hizo mashine, huku wale mawakala wa mwanzo wakiendelea kuzitumia!

Hii jeuri sijui wanaitoa wapi hawa NMB!!!
 
Kati ya benki zenye mambo ya kipuuzi, basi NMB inaongoza. Wamesitisha utoaji wa hizo mashine na kuanzisha mfumo mpya wa simu ambao siyo rafiki hata kidogo kwa wateja na pia mawakala.

Wanakataa kutoa hizo mashine, huku benki nuingine kama CRDB zikiendelea kuzitumia. Wameacha kutoa hizo mashine, huku wale mawakala wa mwanzo wakiendelea kuzitumia!

Hii jeuri sijui wanaitoa wapi hawa NMB!!!
Labda wanataka kufanya maboresho
 
Labda wanataka kufanya maboresho
Hawana maboresho yoyote yale! Ni jeuri yao tu. Wana miaka ya kutosha tu tangu walipositisha utoaji wa hizo mashine zao za uwakala. Na hakuna chochote kinachoendelea.
 
Hata Mimi NAHITAJI.
Mwenye nayo mitaa ya Mbeya au Songwe TUWASILIANE.

#YNWA
 
Kama kichwa Cha mada kinavojieleza hapo juu kama Kuna mtu ana POS NMB wakala na haitumii au amefunga biashara naomba aniuzie.Itakua vyema kama yupo maeneo ya DODOMA Au BABATI
Habari Mwenye Uzi huu JamiiForums,

Tunashukuru sana kwa mrejesho wako na hamu ya kupata POS za NMB Wakala katika maeneo yako.

Kwa manufaa ya wanajukwaa wote, POS za NMB Wakala zitaanza kupatikana Kwenye matawi yetu yote kuanzia mwisho wa mwezi huu October 2023.

goodlif1600 tutumie ujumbe mfupi DM na utakuwa wa kwanza kupata POS yako ya NMB Wakala mwisho wa mwezi huu.
 
Habari Mwenye Uzi huu JamiiForums,

Tunashukuru sana kwa mrejesho wako na hamu ya kupata POS za NMB Wakala katika maeneo yako.

Kwa manufaa ya wanajukwaa wote, POS za NMB Wakala zitaanza kupatikana Kwenye matawi yetu yote kuanzia mwisho wa mwezi huu October 2023.

goodlif1600 tutumie ujumbe mfupi DM na utakuwa wa kwanza kupata POS yako ya NMB Wakala mwisho wa mwezi huu.
Sawa sawa
 
Habari Mwenye Uzi huu JamiiForums,

Tunashukuru sana kwa mrejesho wako na hamu ya kupata POS za NMB Wakala katika maeneo yako.

Kwa manufaa ya wanajukwaa wote, POS za NMB Wakala zitaanza kupatikana Kwenye matawi yetu yote kuanzia mwisho wa mwezi huu October 2023.

goodlif1600 tutumie ujumbe mfupi DM na utakuwa wa kwanza kupata POS yako ya NMB Wakala mwisho wa mwezi huu.
Mkuu na Mimi nahitaji nipo Kalambo Rukwa naomba sana if possible niwe wa mwanzo mkuu
 
Habari Mwenye Uzi huu JamiiForums,

Tunashukuru sana kwa mrejesho wako na hamu ya kupata POS za NMB Wakala katika maeneo yako.

Kwa manufaa ya wanajukwaa wote, POS za NMB Wakala zitaanza kupatikana Kwenye matawi yetu yote kuanzia mwisho wa mwezi huu October 2023.

goodlif1600 tutumie ujumbe mfupi DM na utakuwa wa kwanza kupata POS yako ya NMB Wakala mwisho wa mwezi huu.
Hii ni account ya nmb kweli?
 
Habari Mwenye Uzi huu JamiiForums,

Tunashukuru sana kwa mrejesho wako na hamu ya kupata POS za NMB Wakala katika maeneo yako.

Kwa manufaa ya wanajukwaa wote, POS za NMB Wakala zitaanza kupatikana Kwenye matawi yetu yote kuanzia mwisho wa mwezi huu October 2023.

goodlif1600 tutumie ujumbe mfupi DM na utakuwa wa kwanza kupata POS yako ya NMB Wakala mwisho wa mwezi huu.
Ahueni. Maana ule mfumo wenu mpya wa kutaka mawakala kutumia simu, kiukweli ulikuwa haueleweki.
 
Ahueni. Maana ule mfumo wenu mpya wa kutaka mawakala kutumia simu, kiukweli ulikuwa haueleweki.
Ule mfumo wao unazingua sana nimepambania mashine sana lakin wap...!
Juzi nkapata ahuen kuskia watazudusha tena sokon lakin watakua wanaziuza.....

Tujiandae kwa bei zao...

Sent from my Pixel 6 using JamiiForums mobile app
 
Ule mfumo wao unazingua sana nimepambania mashine sana lakin wap...!
Juzi nkapata ahuen kuskia watazudusha tena sokon lakin watakua wanaziuza.....

Tujiandae kwa bei zao...

Sent from my Pixel 6 using JamiiForums mobile app
Potelea mbali ndugu. Tutanunua tu. Hata wakitaka na rushwa, tutawapa. Maana hakuna namna. NMB ndiyo ina wateja wengi zaidi ukilinganisha na benki nyingine. Hivyo hata ukiwa nayo, mzunguko wake pia ni mkubwa.
 
Back
Top Bottom