Mr_H2so4
Member
- Aug 3, 2024
- 20
- 14
Sorry wadau mimi ni mwanafunzi wa chuo kikuu ...nina kipaji cha kuchekesha lakini nakosa namna au njia ya kufikisha kwa jamii mana hata chuo nilipo hakuna majukwaa yanayoandaliwa kwa ajili ya burudani . Na nimejarbu kutumia mitandao ya kijamii naona inakua ngumu .naomba kama naweza pata promoter wa kunipandisha katika majukwa ya comedy na imani ndiyo nitakapotokea na kipaji kuonekana.