Nahitaji ps3 na ps4 used

Nahitaji ps3 na ps4 used

Munch wa annabelletz47

JF-Expert Member
Joined
Aug 13, 2019
Posts
1,885
Reaction score
3,227
Kama kichwa kinavyojieleza hapo, Mungu akinijaalia mwezi wa 7 nataka kufungua kibanda cha kupata angalau Mia 2 Mia 3 ili niweze kulea mke wangu(sijamuoa) na mtoto wangu huku nikiendelea na masomo yangu ya shahada ya kwanza.

Hivyo basi jamani naomba kutangaza kuwa yeyte mwenye ps3 au ps4 used nanunua, mimi nipo Mbeya usafiri juu yangu mzigo kufika huku.

NB: Bei iendane na soko usje na bei za ajabu sjuh lak tatu ps3 used, tuwe soriaz
 
Kama kichwa kinavojieleza hapo, mungu akinijaalia mwezi wa 7 nataka kufungua kibanda cha kupata angalau Mia 2 Mia 3 ili niweze kulea mke wangu( sjamuoa) na mtoto wangu uku nikiendelea na masomo yangu ya shahada ya kwanza.

Hivo basi jamani naomba kutangaza kuwa yeyte mwenye ps3 au ps4 used nanunua mm nipo mbeya usafiri juu yangu mzigo kufika huku

Nb:Bei iendane na soko usje na bei za ajabu sjuh lak tatu ps3 used, tuwe soriaz
Nicheki 0758751515
 
Mkuu nipm mimi ninayo na siifanyii kazi ipo ps3 bei kitonga mkuu
 
Back
Top Bottom