Amri kuu ni Upendo
JF-Expert Member
- Oct 18, 2012
- 789
- 489
Habari wana MMU! Najitokeza kwa mara ya Kwanza kuleta hitaji hili.
Jinsia yangu:Mwanaume; Umri wangu: 28 ;
Elimu Yangu: Degree;
Kazi Yangu: Mwalimu Sekondari;
Makazi yangu Dar es salaam;
Kabila: Msukuma wa Mwanza jijini ;
Dini/Dhehebu:Mkristo/KKKT;
Rangi : Maji ya Kunde; Urefu:
Futi 5.
SIFA ZA RAFIKI NINAYEMHITAJI
Jinsia:Msichana;
Kabila:Lolote tu ila awe mtanzania;
Dini/dhehebu: Mkristo/Protestant;
Rangi;Mweupe/Maji ya kunde;
Urefu;4.5Feet kuendelea;
Size ya Mwili: Awe na mwili wa kubebeka na mtu mmoja( kilo zisizozidi 70) ;
Kazi: Yoyote ile ila tu awe na kazi halali/njema
Tabia:Mcheshi,mwenye huruma,mkarimu n.k;
Makazi: Awe DSM, Moro, Tanga, K'njaro, Arusha au Mwanza(Kwa sababu mikoa hii kwa mimi ni rahisi kuifikia)
NATUMAINI NITAMPATA RAFIKI WA MOYO WANGU HUMU KAMA MUNGU AKIPENDA!
Asanteni
Jinsia yangu:Mwanaume; Umri wangu: 28 ;
Elimu Yangu: Degree;
Kazi Yangu: Mwalimu Sekondari;
Makazi yangu Dar es salaam;
Kabila: Msukuma wa Mwanza jijini ;
Dini/Dhehebu:Mkristo/KKKT;
Rangi : Maji ya Kunde; Urefu:
Futi 5.
SIFA ZA RAFIKI NINAYEMHITAJI
Jinsia:Msichana;
Kabila:Lolote tu ila awe mtanzania;
Dini/dhehebu: Mkristo/Protestant;
Rangi;Mweupe/Maji ya kunde;
Urefu;4.5Feet kuendelea;
Size ya Mwili: Awe na mwili wa kubebeka na mtu mmoja( kilo zisizozidi 70) ;
Kazi: Yoyote ile ila tu awe na kazi halali/njema
Tabia:Mcheshi,mwenye huruma,mkarimu n.k;
Makazi: Awe DSM, Moro, Tanga, K'njaro, Arusha au Mwanza(Kwa sababu mikoa hii kwa mimi ni rahisi kuifikia)
NATUMAINI NITAMPATA RAFIKI WA MOYO WANGU HUMU KAMA MUNGU AKIPENDA!
Asanteni