Nahitaji rafiki serious for future relationship

Nahitaji rafiki serious for future relationship

ngoja sie tuliondolewa sifa tukae pembeni.
ila mwanaume wa zaidi ya futi 6 kumpata ni shughuli ujue!!!
nakumbuka nikiwa chuo darasani tulikuwa 150 na wa urefu huo walikuwa 6 na wote wameshaoa.
 
ngoja sie tuliondolewa sifa tukae pembeni.
ila mwanaume wa zaidi ya futi 6 kumpata ni shughuli ujue!!!
nakumbuka nikiwa chuo darasani tulikuwa 150 na wa urefu huo walikuwa 6 na wote wameshaoa.

Hahahaa, asante rafiki kwa takwimu
Inamaana wanaume wafupi ni wengi kuliko warefu
 
kwa huyu dem mtakesha.tudanganyaneni tu tukiwa hapa.but no muolewaji.ni ujuaji mtupu pyuuuuuh jarbuni ntanipa majibu hapa hapa
 
interview lini na ofisi yako ipo wapi hapo mwanza make yule wa Nigeria alifanyia kituo cha radio.
 
It's not easy to find a university graduate who's single. Did you say you're God fearing? Stop lying. Kwani weusi waliumbwa na nani? I'll advice you to look for somebody your class
 
U r too tall..ni kweli Au uongo maana 179 Sio mchezo..na ndomana unakimbiwa na men 🙂
 
It's not easy to find a university graduate who's single. Did you say you're God fearing? Stop lying. Kwani weusi waliumbwa na nani? I'll advice you to look for somebody your class

Thanks for your judgement and advice
 
Mimi ni binti ninaejiheshimu,mvumilivu inapobidi, mcheshi, mcha Mungu, hardworking
Mrefu kama 179cm, dark skinned ila sio sana.

Sifa za rafiki wa kiume ninaehitaji;
Mrefu anizidi, athletic body haha, asiwe mweusi sana, God fearing(roman catholic would be the best), age 26-32 and above maybe, awe mwanza itakuwa vizuri zaidi a responsible and hardworking man, asiwe na mentality ya kuajiriwa tu, degree holder or more than that, awe ni mcheshi na mtu wa kujichanganya na watu na muhimu awe tayari kupima HIV.

Mwenye sifa nitakazotaja hapo chini please usisogee pm. Any Muslim man, kama kabila lako ni muhaya au mnyakyusa hehe, height below 179cm, mwanaume mwenye mtoto(not a main factor ila sitokupa kipaumbele), asiwe amespecialize kwenye healthy faculty kama doctor or lab angalau pharmacist kidogo.

PM iko wazi na please sitaki vijembe hapa and samahani kwa kuchanganya lugha natumai nimeeleweka

wew ni bikira au unaleta tu mbwembwe humu ndani na vip shule si mnafunguwa trh 13,tution unaenda? mpaka shule zifunguwe tutaona mengi
 
Back
Top Bottom