Nahitaji rafiki serious for future relationship

Nahitaji rafiki serious for future relationship

wew ni bikira au unaleta tu mbwembwe humu ndani na vip shule si mnafunguwa trh 13,tution unaenda? mpaka shule zifunguwe tutaona mengi

Mwanao ndio wanafungua tarehe 13 Eeh?
Jiheshimu uheshimiwe ungepita kimya pia usingepungukiwa kitu
 
You are179cm high!! Na unataka awe zaidi ya hapo!
 
wew ni bikira au unaleta tu mbwembwe humu ndani na vip shule si mnafunguwa trh 13,tution unaenda? mpaka shule zifunguwe tutaona mengi

Wew kwenye usaili umetupwa nini mkuu!
 
Nipe siri ya madoctor kwa nn huwatak ili nami nipate mwanga.
 
Mimi ni binti ninaejiheshimu,mvumilivu inapobidi, mcheshi, mcha Mungu, hardworking
Mrefu kama 179cm, dark skinned ila sio sana.

Sifa za rafiki wa kiume ninaehitaji;
Mrefu anizidi, athletic body haha, asiwe mweusi sana, God fearing(roman catholic would be the best), age 26-32 and above maybe, awe mwanza itakuwa vizuri zaidi a responsible and hardworking man, asiwe na mentality ya kuajiriwa tu, degree holder or more than that, awe ni mcheshi na mtu wa kujichanganya na watu na muhimu awe tayari kupima HIV.

Mwenye sifa nitakazotaja hapo chini please usisogee pm. Any Muslim man, kama kabila lako ni muhaya au mnyakyusa hehe, height below 179cm, mwanaume mwenye mtoto(not a main factor ila sitokupa kipaumbele), asiwe amespecialize kwenye healthy faculty kama doctor or lab angalau pharmacist kidogo.

PM iko wazi na please sitaki vijembe hapa and samahani kwa kuchanganya lugha natumai nimeeleweka
Can i take this oppotunity?
 
Mimi ni binti ninaejiheshimu,mvumilivu inapobidi, mcheshi, mcha Mungu, hardworking
Mrefu kama 179cm, dark skinned ila sio sana.

Sifa za rafiki wa kiume ninaehitaji;
Mrefu anizidi, athletic body haha, asiwe mweusi sana, God fearing(roman catholic would be the best), age 26-32 and above maybe, awe mwanza itakuwa vizuri zaidi a responsible and hardworking man, asiwe na mentality ya kuajiriwa tu, degree holder or more than that, awe ni mcheshi na mtu wa kujichanganya na watu na muhimu awe tayari kupima HIV.

Mwenye sifa nitakazotaja hapo chini please usisogee pm. Any Muslim man, kama kabila lako ni muhaya au mnyakyusa hehe, height below 179cm, mwanaume mwenye mtoto(not a main factor ila sitokupa kipaumbele), asiwe amespecialize kwenye healthy faculty kama doctor or lab angalau pharmacist kidogo.

PM iko wazi na please sitaki vijembe hapa and samahani kwa kuchanganya lugha natumai nimeeleweka
Eti hataki wahehe
 
Nilitaka nishangae sana Kama Ni uzi was mwaka huu useme mwanaume wa 26 years I remember fantastic moment 2013 brenda18
 
toka 2015 hahah. Sasa hivi vigezo vitakuwa yeyote mradi ana mashine.
 
Hivi kweli wooote waliokuzunguka in real life hujapata unakuja tafuta kwenye marobot jf..
 
Back
Top Bottom