Nahitaji rafiki wa kike tuanze safari ya kuelekea ndoa (trial and error)

Nahitaji rafiki wa kike tuanze safari ya kuelekea ndoa (trial and error)

Le Professor

Member
Joined
Sep 25, 2018
Posts
57
Reaction score
80
Kama mnavyo fahamu nafsi nyonge nahitaji mtu wa kuanza nae mapenzi tujaliwe tufike sehemu nzuri kwenye penzi letu

Mimi
Miaka 28+
Graduate nimeajiriwa pia nimejiajiri
Naishi DSM na ni mzaliwa wa hapa hapa ila nina asili ya kingoni/songea
Mkristu nina hofu ya mungu
Open-minded

Kwa sasa bado kijana nakula bata na kuwekeza kwenye miradi mbalmbali ndio maono yangu

Nahitaji mtu tufanye yote kwenye mapenzi kuanzia ya nje hadi ya ndani

Mwanamke ninaye mtaka siangalii kigezo chochote ila tu asiwe mshirikina au kuwa na imani za ajabu ajabu zisizo mpendeza mungu

Imeandikwa muogope mwanamke mchawi

Siangaliii umrii
Wala tabia
Wala sura

Aliyekuwa tayari anifate Pm
Nipo serous in very fun way tusichezeane hisia kabisa hii ishu ni very sensitive
 
Drsm nzima umekoswa, kweli wanaume wa dar madomo zege kweli kweli[emoji86][emoji86]
 
Dar es salaam. A.K.A mji wa wanaume wasiojua hadhi ya uanaume wao[emoji120]
Kufa na tai shingoni ndio uanaume sio
Kupigwa mizinga ndio uanaume sio
Kujikaza kisabuni ndio uanaume sio
Kuvimba unamapesa ndio uanaume sio
 
Kama mnavyo fahamu nafsi nyonge nahitaji mtu wa kuanza nae mapenzi tujaliwe tufike sehemu nzuri kwenye penzi letu

Mimi
Miaka 28+
Graduate nimeajiriwa pia nimejiajiri
Naishi DSM na ni mzaliwa wa hapa hapa ila nina asili ya kingoni/songea
Mkristu nina hofu ya mungu
Open-minded

Kwa sasa bado kijana nakula bata na kuwekeza kwenye miradi mbalmbali ndio maono yangu

Nahitaji mtu tufanye yote kwenye mapenzi kuanzia ya nje hadi ya ndani

Mwanamke ninaye mtaka siangalii kigezo chochote ila tu asiwe mshirikina au kuwa na imani za ajabu ajabu zisizo mpendeza mungu

Imeandikwa muogope mwanamke mchawi

Siangaliii umrii
Wala tabia
Wala sura

Aliyekuwa tayari anifate Pm
Nipo serous in very fun way tusichezeane hisia kabisa hii ishu ni very sensitive
Ukipata na mimi u nipatie moja
 
Kama mnavyo fahamu nafsi nyonge nahitaji mtu wa kuanza nae mapenzi tujaliwe tufike sehemu nzuri kwenye penzi letu

Mimi
Miaka 28+
Graduate nimeajiriwa pia nimejiajiri
Naishi DSM na ni mzaliwa wa hapa hapa ila nina asili ya kingoni/songea
Mkristu nina hofu ya mungu
Open-minded

Kwa sasa bado kijana nakula bata na kuwekeza kwenye miradi mbalmbali ndio maono yangu

Nahitaji mtu tufanye yote kwenye mapenzi kuanzia ya nje hadi ya ndani

Mwanamke ninaye mtaka siangalii kigezo chochote ila tu asiwe mshirikina au kuwa na imani za ajabu ajabu zisizo mpendeza mungu

Imeandikwa muogope mwanamke mchawi

Siangaliii umrii
Wala tabia
Wala sura

Aliyekuwa tayari anifate Pm
Nipo serous in very fun way tusichezeane hisia kabisa hii ishu ni very sensitive
Mmh! Naogopa sana
Hasa hapo unaposema una hofu ya Mungu(You are Lier) then Try and Error
Aka babu sitak mwili wangu Uchezee Tatumzuka.
Yan unipigize kisha ukaoe mwingine!!
Aaargh! Yani nyie Wanaume Sometime ni pasua kichwa sana...
 
Back
Top Bottom