ongeza sifa mkuu ili wanaokuja waje wakijua kuna kazi mbili, rafiki then mpenzi. ni bora ukaweka wazi hao rafiki zako wawe dini ipi na elimu pia uweke wazi ikiwezekana uende mbali zaidi uwaambie wawe na watoto au wasiwe na watoto.Habari wanajf...
Mimi ni kijana bora...mwenye ucheshi na ustaarabu..
Nahitaji rafiki wa kike wa kuwa na mawasiliano nae...hata ikiwezekana kwa mapenzi ya mungu tuweze hata kuwa wapenzi .UMRI uwe chini ya miaka kuanzia 18-24...Ni hayo tu ndugu zangu.
ni PM...Aliye tyari
NITASHUKURU SANA[emoji122][emoji122][emoji122]
[emoji16][emoji16]Boresha tangazo lako.
Unafikiri ingekuwa wanapatikana kirahisi hivyo kuna mtu angepiga punyeto?
hahahahaha aiseeBoresha tangazo lako.
Unafikiri ingekuwa wanapatikana kirahisi hivyo kuna mtu angepiga punyeto?
Nishaongeza sifa mkuuongeza sifa mkuu ili wanaokuja waje wakijua kuna kazi mbili, rafiki then mpenzi. ni bora ukaweka wazi hao rafiki zako wawe dini ipi na elimu pia uweke wazi ikiwezekana uende mbali zaidi uwaambie wawe na watoto au wasiwe na watoto.
sifa zako je?Habari wanajf...
Mimi ni kijana bora...mwenye ucheshi na ustaarabu..
Nahitaji rafiki wa kike wa kuwa na mawasiliano nae...hata ikiwezekana kwa mapenzi ya mungu tuweze hata kuwa wapenzi .
1:UMRI uwe chini ya miaka kuanzia 18-24...,
2:Kuhusu rangi awe MWEUSI ila si sana,MWEUPE au Maji kunde vyovyote sawa..
3:Kuhusu Elimu..Kuanzia O.level nakuendelea...
4:Kuhusu dini Sibagui...ila priority kubwa iko kwa Christianist..
5:Nahitaji awe Mrefu kiasi,asiwe mnene,saizi za wastani tu...
Ni hayo tu ndugu zangu.
ni PM...Aliye tyari
NITASHUKURU SANA[emoji122][emoji122][emoji122]
sasa ngoja hapo hapo waje, lakini ingekuwa mimi ningeongeza na sifa ya msambwanda, ukikuta anakimsambwanda halafu wewe unapenda msambwanda mkubwa sijui itakuwaje. kama umesahau bora uedit tena mkuuNishaongeza sifa mkuu
kweli sio razimaSi razima..
hahahhhhBoresha tangazo lako.
Unafikiri ingekuwa wanapatikana kirahisi hivyo kuna mtu angepiga punyeto?
bamdogo shikamoo we hutaki rafiki nikuje pm[emoji16][emoji16]
Marahaba mamy... wapm vijana wenzio wewe utaniua kwa preshabamdogo shikamoo we hutaki rafiki nikuje pm
hahahha bamdogo mbona me mpole sanaMarahaba mamy... wapm vijana wenzio wewe utaniua kwa presha