Daby
JF-Expert Member
- Oct 26, 2014
- 33,894
- 76,810
Sasa mamdogo kweli wapole wanajisemaga!hahahha bamdogo mbona me mpole sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa mamdogo kweli wapole wanajisemaga!hahahha bamdogo mbona me mpole sana
bamdogo inabidi tu nijiseme sadaka vipi leoSasa mamdogo kweli wapole wanajisemaga!
Leo ni zamu ya Asprin kuhesabu namsubiria hapa aje anipe mrejesho mamdogobamdogo inabidi tu nijiseme sadaka vipi leo
Kwa mwonekano wako! Utamuua na preshabamdogo inabidi tu nijiseme sadaka vipi leo
Akuje tu babu atupe mrejesho wa sadaka jioni tukae viti virefuLeo ni zamu ya Asprin kuhesabu namsubiria hapa aje anipe mrejesho mamdogo
kwahiyo huyo ni mmKwa mwonekano wako! Utamuua na presha
Vaa kile kimin chako sasa mambo ya kutuvalia magauni ya ngamiani sitakiAkuje tu babu atupe mrejesho wa sadaka jioni tukae viti virefu
Mkuu samahani, lakini wanawake wengi wa Sinza ni wachunaji Tu wanawezana na Wakongokwahiyo huyo ni mm
Shunie ni wa sinza mkuuMkuu samahani, lakini wanawake wengi wa Sinza ni wachunaji Tu wanawezana na Wakongo
Maana wakongo wengi familia zao ni matumbo yao other side hawana tegemezi
Sijui lakini Instagram kuna aliye ni follow anaitwa shunie sijui kama ni wewe?kwahiyo huyo ni mm
Ninjas never die... ulizingua aseehNdio niliwahi vutiwa na hiyo picha yake Shunie. nikaazimia kumtongoza ikabidi nifatilie michango yake hum JF nikagundua niwa Sinza sikusema chochote nilitoka nduki,,,,[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
Sinza wanapaweza Wakongo au wauza ng'ada hela za halali hutafti nyonyo ya SinzaNinjas never die... ulizingua aseeh
Sio lazima ujenge kibanda unaonja tuSinza wanapaweza Wakongo au wauza ng'ada hela za halali hutafti nyonyo ya Sinza
Mkuu Sinza hata kama ni kibanda cha kuhama kodi ya Mara moja unajenga kibanda buguruni au temeke kwa wahaya.Sio lazima ujenge kibanda unaonja tu
Mkuu hata kama banda la kukokota kwa nyonyo ya Sinza buguruni au Temeke kwa wahaya unajenga vibandaSio lazima ujenge kibanda unaonja tu
Kwahiyo wanaoishi sinza wote wapo hivyoMkuu samahani, lakini wanawake wengi wa Sinza ni wachunaji Tu wanawezana na Wakongo
Maana wakongo wengi familia zao ni matumbo yao other side hawana tegemezi
Ndio niliwahi vutiwa na hiyo picha yake Shunie. nikaazimia kumtongoza ikabidi nifatilie michango yake hum JF nikagundua niwa Sinza sikusema chochote nilitoka nduki,,,,[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
Sinza wanapaweza Wakongo au wauza ng'ada hela za halali hutafti nyonyo ya Sinza
Mkuu Sinza hata kama ni kibanda cha kuhama kodi ya Mara moja unajenga kibanda buguruni au temeke kwa wahaya.
Mishahara wa laki 5 hautoshi Ku spend 1 day kwa nyonyo nzuri ya sinza
Mkuu hata kama banda la kukokota kwa nyonyo ya Sinza buguruni au Temeke kwa wahaya unajenga vibanda
Sinza hawafai